ππππ we jamaa bhn.Hivi ukifika Kureport ukakuta HR na staff wanakula mihogo na chai ya rangi inakuwa ina maanisha nini?
sasa hapo huelewi nini.hiyo ni kambi ya wanamgambo wa m23Hivi ukifika Kureport ukakuta HR na staff wanakula mihogo na chai ya rangi inakuwa ina maanisha nini?
Si kwa ubaya kiongozi stelingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa bhn.
Hiyo hali ifananishe na mjusi halafu ujobless( ulikotoka ) fananisha na simba then unachagua wa kufight nae[emoji1]
Aiseee yaani ni Hamas na Janjaweed kabisa mkuusasa hapo huelewi nini.hiyo ni kambi ya wanamgambo wa m23
si ndo apo.akitaka msosi atoe pdf mfululizo zinazoeleweka apo hata akitaka kontena la chapati ni yeye tu..Anakula bure bila kulipa fadhila sio [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Reset kwa kutumia email address yako ambayo ulitumia 2019Wakuu niliwahi kufungua akaunti ajira portal mwaka 2019 lakini nikasahau password [emoji360]. Nimejaribu ku reset upya ila sijafanikiwa Kwa maana hakuna link mpya inayotumwa. Hali hii imepelekea nifungue akaunti mpya ila NIN inanisaliti. Msaada hapa wanajukwaa!
Sipati email yoyote nikifanya hivyo.Reset kwa kutumia email address yako ambayo ulitumia 2019
Angalia kweny spam..Sipati email yoyote nikifanya hivyo.
Hola. Hakuna kitu mkuuAngalia kweny spam..
Reset tena upya ikigoma itabid uwapigie simu. siku iz wanapokea mapema sana hawasumbuiHola. Hakuna kitu mkuu
Nimekaa paleee π π πMara papuuuuu wanahitajika IT nafasi 800.....
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Hola. Hakuna kitu mkuu
Namba zao iz wako faster Sana 0262160350Reset tena upya ikigoma itabid uwapigie simu. siku iz wanapokea mapema sana hawasumbui
We jamaa umenichekesha vibaya mnoHivi ukifika Kureport ukakuta HR na staff wanakula mihogo na chai ya rangi inakuwa ina maanisha nini?
Kamanda dalili ya mvua mawinguWe jamaa umenichekesha vibaya mno
The best way hapo ni kuwapigia simu kuna mshkaji wangu alikuwa na scenario kama yako aliwapigia simu na wakamsaidia kutuma activation linkWakuu niliwahi kufungua akaunti ajira portal mwaka 2019 lakini nikasahau password π. Nimejaribu ku reset upya ila sijafanikiwa Kwa maana hakuna link mpya inayotumwa. Hali hii imepelekea nifungue akaunti mpya ila NIN inanisaliti. Msaada hapa wanajukwaa!
Shukhuran mkuu.The best way hapo ni kuwapigia simu kuna mshkaji wangu alikuwa na scenario kama yako aliwapigia simu na wakamsaidia kutuma activation link