Hapo kuna watu wanaitwa makatibu afya wamesoma Public health ndio kila kitu kwenye maokoto. Madokezo yote ya hela hawa ndio wanaandika. Daktari wala nesi hela hapiti mikononi kwake. Wanapata OT kidogo tuAfya Je??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kuna watu wanaitwa makatibu afya wamesoma Public health ndio kila kitu kwenye maokoto. Madokezo yote ya hela hawa ndio wanaandika. Daktari wala nesi hela hapiti mikononi kwake. Wanapata OT kidogo tuAfya Je??
Sio haba lakini inabidi achangamke akizubaa atatembelea 1/3Vipi kuhusu Afisa Biashara??
Maana hata utumishi usipokaza umeachwa.Sawa Prof.
Kwani ulipata Placement we jamaa ?, Mtetezi wa taasisi kuajiri wenyeweTunasubiria Nusra ya WB, IMF,
Itakuwa alipata labda... alivokuwa anakomaa Taasisi ziajiri zenyeweeKwani ulipata Placement we jamaa ?, Mtetezi wa taasisi kuajiri wenyewe
Vipi ulipata Placement ?
Hata Received hakuna sikuiziIT tunaomba ushushe Pdf leo,...kitaa jua/joto limeongezeka.
Hii ishu ya taasisi kuajiri yenyewe sijui ndio imechangia, wasitufanyie hvyo majobless kitaa jua kali.Hata Received hakuna sikuizi
Htr san kupo kimya mnoo,lbda wantak kwnz kusfisha databasePSRS TUNAOMBA MTOE ADVERTS TUENDELEE KUONGEZA RECEIVED
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Yap Muhimu sana hili Mkuu. Ukiwa na Received huku unasubiria Database au placement unakua kidogo ume relax.PSRS TUNAOMBA MTOE ADVERTS TUENDELEE KUONGEZA RECEIVED
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Kabisa angalau unakuwa nakaubize Fulani hiviYap Muhimu sana hili Mkuu. Ukiwa na Received huku unasubiria Database au placement unakua kidogo ume relax.
Ningepata Nafasi Kuongea na Mheshimiwa Raisi ningemwambia, Baada ya mchakato kuisha na watu kupangiwa ajira , Watu wa ulinzi na usalama waichukue ile Mitihani wakaiangalie Tena ...Ikionekana kama kuna watu wamepata nafasi kwa kuchomekwa Wasiwatoe...ila wale wote waliohusika na Mchakato wa kuwapitisha wawaachishe kazi.... Nafikiri kuna kikundi kitapata Akili 😄Taasisi kuajiri wenyewe ni Failure.
Mfano TRA wameng’ang’ania kuajiri wenyewe ila kusahisha tu mitihani phase one imewachukua mwezi mzima wakati sekretarieti saizi watu wangekua wanasubiri placement.
TRA hivi mnavyochelewesha ndo mnatengeneza mianya ya rushwa na kuchomekana. Mnasubiri nini hadi leo hamjatoa majibu? Ili watu waende oral. Hamkujipanga. It’s either mnasahisha sana, mnapanga safu zenu au PSRS walikua hawasahishi. Lipi ni jibu ila utaratibu huu watoto wa wakulima jua litawaka aisee maana 🙌🏼
Kukaa muda mrefu ni kuruhusu mianya ya rushwa hakuna cha zaidi! Week nne mnasahisha nini?? Au anasahisha kidata peke yake. Mi nakwambia wanachomeka watu waoNingepata Nafasi Kuongea na Mheshimiwa Raisi ningemwambia, Baada ya mchakato kuisha na watu kupangiwa ajira , Watu wa ulinzi na usalama waichukue ile Mitihani wakaiangalie Tena ...Ikionekana kama kuna watu wamepata nafasi kwa kuchomekwa Wasiwatoe...ila wale wote waliohusika na Mchakato wa kuwapitisha wawaachishe kazi.... Nafikiri kuna kikundi kitapata Akili 😄
Kukaa muda mrefu kunafikirisha...Ni either wanasahihisha kwa umakini sana ,ili kila mtu apate haki yake.