Acha kukata tamaa, wengine tupo tangu mwezi wa nne na hatukati tamaaaMimi Kwa majina naitwa G.
Nilifanya interview ya utumishi nakuingia oral mwezi wa nane.
niseme neno Moja.
Kuanzia leo tar moja sitajishughulisha tena na masuala ya kutafuta mkeka.
NIMEACHA NIMECHOKA.
AMEN
Mimi Kwa majina naitwa G.
Nilifanya interview ya utumishi nakuingia oral mwezi wa nane.
niseme neno Moja.
Kuanzia leo tar moja sitajishughulisha tena na masuala ya kutafuta mkeka.
NIMEACHA NIMECHOKA.
AMEN
Noma , hatarisio wewe tu ndugu yangu tupo wengi..
Oya ! Kuna harufu ya kutoboa kweli na ukimya huu wa hawa jamaa ?we umefanya lini
Pole sn KakaSasa wewe si wa database mm Hata hatujaitwa kazini
MakuruWajuba nipeni chaka la karibu na ukumbi pendwa wa mapambano(CIVE) la kupoa kwa ajili ya maandalizi ya interviews.
mmmhh kwakweli mie siioni kesho.hasa hii kada yetu ya umeme labda kwengine uko..Oya ! Kuna harufu ya kutoboa kweli na ukimya huu wa hawa jamaa ?
Makuru
Ni nuksi hatarimmmhh kwakweli mie siioni kesho.hasa hii kada yetu ya umeme labda kwengine uko..
Yani navokuona humu kutwa na malalamiko yako basi me nadhania oral ulipiga ata mwezi wa 3 huko kumbe ni mwezi 8 tu Mkuu...!Mimi Kwa majina naitwa G.
Nilifanya interview ya utumishi nakuingia oral mwezi wa nane.
niseme neno Moja.
Kuanzia leo tar moja sitajishughulisha tena na masuala ya kutafuta mkeka.
NIMEACHA NIMECHOKA.
AMEN
mbona unatutisha.yaani mwezi wa 2 mpaka wa kumi mmmhhh twafa.....🤣🤣Yani navokuona humu kutwa na malalamiko yako basi me nadhania oral ulipiga ata mwezi wa 3 huko kumbe ni mwezi 8 tu Mkuu...!
Kuna raia zilipiga oral tangu mwezi wa 2 na hadi hivi sasa zinaskilizia placement kimya kimya
Sasa wewe miezi 2 tu ushaongea maneno yote umemaliza seriously? Na ata wakianza kutoa placement na ukachelewa kupata bado utaendelea kulaumu tu
Mfano, Mimi nilipiga oral mwezi wa 2, ulipofika mwezi wa 3 placement zikaanza kutoka, kila mwezi majina yanatoka, washkaji wanapata me holaaa, katika kundi langu la washkaji 8 nilibakia mwenyewe tu
Nikaendelea kufanya mambo yangu Tu, kwa sababu najua interviews ni mashindano na ni vigumu kushinda wote, sasa unapodhania wewe ndio una haki ya kupata kuliko wengine hilo linakuwa tatizo la Akili sasa
Nilipotezea issue za placement hadi nilipopigiwa simu mwezi wa 10 napewa hongera, na katika hao washkaji 8 hakuna ata mmoja aliepata kazi kwa connection
We fanya interview kisha endelea kuishi maisha yako uliyokuwa unaishi kabla hujafanya, amini kuwa kila Mtanzania ana haki ya kupata kazi ya utumishi ila sio lazima awe wewe
Hongera sana mkuu, ni uvumilivu mkubwa sana, finally you made it, ukawe mtumishi mwema, utuwakilishe vijanaYani navokuona humu kutwa na malalamiko yako basi me nadhania oral ulipiga ata mwezi wa 3 huko kumbe ni mwezi 8 tu Mkuu...!
Kuna raia zilipiga oral tangu mwezi wa 2 na hadi hivi sasa zinaskilizia placement kimya kimya
Sasa wewe miezi 2 tu ushaongea maneno yote umemaliza seriously? Na ata wakianza kutoa placement na ukachelewa kupata bado utaendelea kulaumu tu
Mfano, Mimi nilipiga oral mwezi wa 2, ulipofika mwezi wa 3 placement zikaanza kutoka, kila mwezi majina yanatoka, washkaji wanapata me holaaa, katika kundi langu la washkaji 8 nilibakia mwenyewe tu
Nikaendelea kufanya mambo yangu Tu, kwa sababu najua interviews ni mashindano na ni vigumu kushinda wote, sasa unapodhania wewe ndio una haki ya kupata kuliko wengine hilo linakuwa tatizo la Akili sasa
Nilipotezea issue za placement hadi nilipopigiwa simu mwezi wa 10 napewa hongera, na katika hao washkaji 8 hakuna ata mmoja aliepata kazi kwa connection
We fanya interview kisha endelea kuishi maisha yako uliyokuwa unaishi kabla hujafanya, amini kuwa kila Mtanzania ana haki ya kupata kazi ya utumishi ila sio lazima awe wewe
Maisha unayoishi wewe usitake wengine tuyazoee .Yani navokuona humu kutwa na malalamiko yako basi me nadhania oral ulipiga ata mwezi wa 3 huko kumbe ni mwezi 8 tu Mkuu...!
Kuna raia zilipiga oral tangu mwezi wa 2 na hadi hivi sasa zinaskilizia placement kimya kimya
Sasa wewe miezi 2 tu ushaongea maneno yote umemaliza seriously? Na ata wakianza kutoa placement na ukachelewa kupata bado utaendelea kulaumu tu
Mfano, Mimi nilipiga oral mwezi wa 2, ulipofika mwezi wa 3 placement zikaanza kutoka, kila mwezi majina yanatoka, washkaji wanapata me holaaa, katika kundi langu la washkaji 8 nilibakia mwenyewe tu
Nikaendelea kufanya mambo yangu Tu, kwa sababu najua interviews ni mashindano na ni vigumu kushinda wote, sasa unapodhania wewe ndio una haki ya kupata kuliko wengine hilo linakuwa tatizo la Akili sasa
Nilipotezea issue za placement hadi nilipopigiwa simu mwezi wa 10 napewa hongera, na katika hao washkaji 8 hakuna ata mmoja aliepata kazi kwa connection
We fanya interview kisha endelea kuishi maisha yako uliyokuwa unaishi kabla hujafanya, amini kuwa kila Mtanzania ana haki ya kupata kazi ya utumishi ila sio lazima awe wewe
Sema mwana na ww unanichanganya 😁 mara Psrs hawana makosa, mara Psrs wanazingua!Maisha unayoishi wewe usitake wengine tuyazoee .
Kiukweli psrs wamekwama na inabidi wajitathimini vya kutosha.
Yaani ufanye interview mwezi wa 2 ajira uoate wa 8 na ukute sio database halfu use me kawaida.
Kiukweli inabidi wajitafakari vya kutosha na wajitathmini sana .
Mimi silalamiki na nimejiandaa kwa lolote lile
kwakweli ni uchoko..Maisha unayoishi wewe usitake wengine tuyazoee .
Kiukweli psrs wamekwama na inabidi wajitathimini vya kutosha.
Yaani ufanye interview mwezi wa 2 ajira uoate wa 8 na ukute sio database halfu use me kawaida.
Kiukweli inabidi wajitafakari vya kutosha na wajitathmini sana .
Mimi silalamiki na nimejiandaa kwa lolote lile
Mkuu wewe unalalamika na hujajiandaa kwa lolote lile ndomana kila baada ya dakka kadhaa lazima upost comment humu, waliojiandaa na lolote wanasubiri kupigiwa Kama itatokeaMaisha unayoishi wewe usitake wengine tuyazoee .
Kiukweli psrs wamekwama na inabidi wajitathimini vya kutosha.
Yaani ufanye interview mwezi wa 2 ajira uoate wa 8 na ukute sio database halfu use me kawaida.
Kiukweli inabidi wajitafakari vya kutosha na wajitathmini sana .
Mimi silalamiki na nimejiandaa kwa lolote lile
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Vijana washachafukwa Eng Tanguye ongea na timu yako uko. [emoji1787] [emoji1787]
Bora taasisi ziajiri zenyewe tuMaisha unayoishi wewe usitake wengine tuyazoee .
Kiukweli psrs wamekwama na inabidi wajitathimini vya kutosha.
Yaani ufanye interview mwezi wa 2 ajira uoate wa 8 na ukute sio database halfu use me kawaida.
Kiukweli inabidi wajitafakari vya kutosha na wajitathmini sana .
Mimi silalamiki na nimejiandaa kwa lolote lile