Nina imani na psrs, haijarishi awahishe placements au acheleweshe, it's not my concern,
jina langu tu kua kwenye makaburasha ya psrs najihisi niko mikono salama na wala sina pressure yoyote as long as stutas ina soma selected both app and web, iyo ina maanisha lolote laweza tokea kupata au kukosa. am ready for that
taasisi kuajiri wenyewe ni upuuzi. Huko ndo tumetoka, changamoto zilikua za kuchota na suruhisho pekee lililokuwepo lilikua ni kuunda chombo huru (psrs), msiturudishe huko Kama umeona kuna changamoto psrs hizo kelele unazopiga za psrs kunyang'anywa mamlaka yake ungezielekeza ktk ku push hizo changamoto zake zitatuliwe si lingekua jambo la maana zaid kama lengo lako n jema kwa masrahi ya wengi?
Ok basi tuseme hii ya kuhamishia mamlaka kweny taasis ndo suruhisho, je nako kwenye taasisi tukikuta kuna changamoto tuhamie wapi? Shake well your head before use