Ngoja nikushirikishe machache tu ambayo yanaendelea huku maofisini ujue jinsi Dunia ilivyokuwa haina USAWA....
Mimi binafsi ni mwaka wa 3 huu natafuta uhamisho (nishafanya Kazi miaka 10, kwahiyo Nina sifa zotee za kupata uhamisho) ila sasa...
Nikiwa na hustle na kutafuta uhamisho
1. Kuna watu wanapata Kazi (ajira mpya) wanakuja kureport, anarudi home kusubiri cheki namba.
Ile anaipata, hata hajaanza Kazi, anakuja na barua ya uhamisho kahamishiwa Taasisi fulani. Kwa halmashauri anatemana nayo kihivyo
UNADHANI HUYU HATA AJIRA ALIIPA NJIA KAMA YAKO?
2. Mmepata ajira mpya, wewe unawaza umfundishe Kazi ili umuachie ofisi uhame.
Na uhamisho hutoka baada ya mwaka wa ajira (ukishathibitishwa).
Ndani chini ya mwaka mtu anakuja na barua ya uhamisho na anasepa anakuacha wewe wa miaka hapohapo.
3. Siku umekaa unahili wala lile, unashangaa DED kamind. Kisa kapokea simu kutoka juuu huko "mtumishi fulani anatakiwa ahame haraka"
Braza hii Dunia japo Kuna Mungu, ila Kuna watu Wana WATU, sio watu ni WATU.
Mungu akujalie upate ajira, ipo siku UTANIELEWA.
Karibu kwenye Utumishi wa Umma.
#YNWA
Nilikuwa najiuliza muda mrefu mbona Taasisi kama TANESCO huwezi sikia ajira hata siku moja iwe kupitia utumishi au kwa wao wenyewe ?
Kumbe njemba zinakimbia toka Halmashauri kuingia huko
Duh Sasa sisi ambao Bado inakuaje?Taasisi nyingi wana shortage ya watu na hawapati vibali vya kuajiri hivyo wanatumia option ya interministerial transfer from MDAs.
Hili ndio kubwa ila pia wewe Kama umri unaruhusu unaweza soma bachelor mpya ya kilimo lakini pia "'posho,safari na extra duty kibao"" hiki ndicho nacho kitaka.Kila mtu ana ndoto zake
Wewe si uje halmashauri halafu sisi tuondoke.Sasa mnakimbia halmashauri nani anafanya kazi huko aisee ninyi watu ?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Mnazingua sana aisee ,
Kumbe ndio maana kuna taasisi haziajiri kabisa graduates aisee ,kumbe majitu yanakaba nafasi huko kwa kuzikimbia halmashauri
Kuna taasisi watu wanafanya usahili kama Geresha halafu hata majina yenyewe hayatoki ,ujinga sana huu
Kupata post TAASISI ndio shida..Miaka mitatu unatafuta uhamisho? Changamoto hasa ni nini? Yani umekwama wapi, unapotoka au unapoenda au utumishi.
Sure,..sema na PSRS watoe PDF basi.huu uzi ni desa tosha,wageni tunajifunza mengi hapa.
MOJA YA KITU KIWEKWE WAZI, WAULIZWE TRA...ILIKUWAJE KULIKUWA NA MUDA MWINGI WATU WA ICT TECHNICIAN KUPEWA RATIBA YA PRACTICAL...YANI RATIBA YA PRACTICAL WATU WAMEPIGIWA SIMU J.MOSI TAREHE 28... THN TAREHE 29 WAWE DAR KUFANYA MTIHANI...MIMI NILIKUWA SOMGWE NIKASHINDWA KWENDA...CZ NATOKEJE J.MOSI TENA SIMU NIMEPIGIWA SAA SABA MCHANA. NINA RECORD YA CALL NA HADI SCREENSHOOT YA MESSAGE 😢Hakuna aliyeitwa kazini ila mbichi na mbivu zao WASHAZIJUA.
Unasubiriwa wakati kila kitu kiwekwe wazi.
Ila usikate tamaa, kwenye maisha HATUFANANI.
#YNWA
Pole sana mkuu, ila hii ndio imeisha hivyo.MOJA YA KITU KIWEKWE WAZI, WAULIZWE TRA...ILIKUWAJE KULIKUWA NA MUDA MWINGI WATU WA ICT TECHNICIAN KUPEWA RATIBA YA PRACTICAL...YANI RATIBA YA PRACTICAL WATU WAMEPIGIWA SIMU J.MOSI TAREHE 28... THN TAREHE 29 WAWE DAR KUFANYA MTIHANI...MIMI NILIKUWA SOMGWE NIKASHINDWA KWENDA...CZ NATOKEJE J.MOSI TENA SIMU NIMEPIGIWA SAA SABA MCHANA. NINA RECORD YA CALL NA HADI SCREENSHOOT YA MESSAGE [emoji22]
Lkn matokeo ya Written si yalitoka trh 21 September au yalitoka hiyo trh 28 September? Naomba Kujua ili nielewe Lawama nazipeleka kwako au kwa TRA.MOJA YA KITU KIWEKWE WAZI, WAULIZWE TRA...ILIKUWAJE KULIKUWA NA MUDA MWINGI WATU WA ICT TECHNICIAN KUPEWA RATIBA YA PRACTICAL...YANI RATIBA YA PRACTICAL WATU WAMEPIGIWA SIMU J.MOSI TAREHE 28... THN TAREHE 29 WAWE DAR KUFANYA MTIHANI...MIMI NILIKUWA SOMGWE NIKASHINDWA KWENDA...CZ NATOKEJE J.MOSI TENA SIMU NIMEPIGIWA SAA SABA MCHANA. NINA RECORD YA CALL NA HADI SCREENSHOOT YA MESSAGE 😢
Wewe Songwe si ilipaswa ufanye interview Mbeya?MOJA YA KITU KIWEKWE WAZI, WAULIZWE TRA...ILIKUWAJE KULIKUWA NA MUDA MWINGI WATU WA ICT TECHNICIAN KUPEWA RATIBA YA PRACTICAL...YANI RATIBA YA PRACTICAL WATU WAMEPIGIWA SIMU J.MOSI TAREHE 28... THN TAREHE 29 WAWE DAR KUFANYA MTIHANI...MIMI NILIKUWA SOMGWE NIKASHINDWA KWENDA...CZ NATOKEJE J.MOSI TENA SIMU NIMEPIGIWA SAA SABA MCHANA. NINA RECORD YA CALL NA HADI SCREENSHOOT YA MESSAGE 😢
Kwani hayo matokeo yalikuwa na siku ya oral interview?Lkn matokeo ya Written si yalitoka trh 21 September au yalitoka hiyo trh 28 September? Naomba Kujua ili nielewe Lawama nazipeleka kwako au kwa TRA.
watu tunaumia kimyakimya sasa ivi.IT kachachuka....Naona wandewa washakata tamaa ya kutaka Placements!
IT FANYA MAMBO BASI.