Sasa mnakimbia halmashauri nani anafanya kazi huko aisee ninyi watu ?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Mnazingua sana aisee ,
Kumbe ndio maana kuna taasisi haziajiri kabisa graduates aisee ,kumbe majitu yanakaba nafasi huko kwa kuzikimbia halmashauri
Kuna taasisi watu wanafanya usahili kama Geresha halafu hata majina yenyewe hayatoki ,ujinga sana huu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Mnazingua sana aisee ,
Kumbe ndio maana kuna taasisi haziajiri kabisa graduates aisee ,kumbe majitu yanakaba nafasi huko kwa kuzikimbia halmashauri
Kuna taasisi watu wanafanya usahili kama Geresha halafu hata majina yenyewe hayatoki ,ujinga sana huu