Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Namshukuru Mungu nami nimelamba 🍯. Nawaombea mnaoendelea kupambania 🍯 nanyi siku yenu ifike. Muhimu maandalizi ya interview yawe mazuri, tujiamini, tumwombe Mungu maana ndiye anaweza kutuvusha. Nawashukuru kwa comments zenu kupitia uzi huu, nilitiwa moyo kusonga mbele, kila wakati nilisafiri kutoka kijijini. Interview 5 na ya tano imenipa kazi. Tusikate tamaa, mapambano hadi kieleweke.
 

Daaag nataman Niwe wewe bro
 

Hongera sana mkuu Desktop πŸ‘ŠπŸ‘Š

Nakutakia mafanikio tele katika maisha yako ya Utumishi wa Umma. Kazingatie Sheria, Taratibu na Kanuni za kazi yako pale unapotimiza majukumu yako na pia katende haki.

Furahia habari hii nzuri ukiwa na ndugu na jamaa zako wa karibu kwani haikuwa jambo rahisi mpala kufika hapo.

Pia, kumbuka kutoa Shukurani kwa watu wenye uhitaji toka ktk jamii yako inayokuzunguka kama vile watoto yatima, walemavu, wenye magonjwa n.k

Hakika hutajutaa

πŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘Š
 
Hongera sana mkuu ukawe mtumishi mwema na mwadilifu, ukachape kazi mkuu
 

[emoji419][emoji1426][emoji1426][emoji1426][emoji1426]
 
hongera sana mkuu
 
Ukiona hivyo ujue Uhitaji ni mkubwa na hao waliopo database ni wachache ndo mana wanatangaza tena.
 
Hongera sana mkuu, ukawe mtumishi mwema.
 
Hongera mkuu, kawe mtumishi mwema.

Nasi zamu yetu itafika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana kaka,
 
Hongera [emoji120] kwako Bro mwangilia Moyo kidogo Kwa kuachana na Ujobless
 
Hapa tuambiane ukweli tu, kuhusu advertisment kama zile MDA's & LGA's sisi ambao tulienda na hatukufika Oral zile ndio zilikuwa chance za mwaka huu ....Mimi naamini Mpka Mwaka unaisha sitokaa kuona Tangazo la kazi ya Kada yangu ... Cz nafasi ikitoka watatangazaje wakati kuna Database Special ya MDA & LGA.

Yaani ni full package, wizara ikitaka mtu, chomoa peleka... Taasisi ikitaka mtu chomoa peleka, Board ikitaka mtu chomoa peleka, Halmashauri etc... Kiufupi sisi ambao hatujafanya oral mpka muda huu kazi tunayo kuhusu Tangazo jipya la ajira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…