Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ukiwa na kazi 8 ...3 ukatoa halali 5 ukatoa kwa connection...Bafo umewadhurumu 5 ambao wangepata haki....Kama waliweza toa majina sijui 5000+ plus call for interview ...wameshindwa toa majina hayo waliopata ambayo ni machache kuliko yale??
Mbn hata huko TRA WAMEPAPA watu bila connection mkuu....kuomba t mung km rziki ipo ipoo tuu
 
Mzee ITpersonel kwa sasa wew umebeba mikoba ya Makofia360,unatuletea za ndaaaani kabisa....
Kongole kwa hili kaka,last tym ulisema IT wa psrs ana pdf nne mkononi so ashatoa mbili tayar kwa hiyo zimebaki mbili mkonon....Mwenyezi Mungu nakuomba kwenye pdf ijayo nami nione jina langu na nitoe ushuhuda hapa jukwaani...amen
 
Umeongea busara tupu kaka
 
Mtaalamu wa IT chunguza tofauti hapo kwenye hizo e-mail mbili alizoshare mdau.
Kubwa zaidi, barua za TRA zinamtaja mdau kwa majina, siyo hiyo dear applicant,.
sioni changamoto yoyote zaidi zaidi naona watu wameula TRA, hongera zao sana
 
TRA kuna mwanangu katumiwa email kuwa kapata kazi, hopely mchakato waliendesha kwa haki. na pdf huenda wataitoa ni suala la muda tu ,kama walivyo fanya mwanzo.

hongereni mlio tusua TRA
Hawawezi kuweka watu wa magumashi pekee. Huwa wanamix kidogo ili wapate watetezi. Wanaweza kupiga ratio ya 4:6. Yaani wa 4 magumashi wa 2 kihalali. Ndio maana wamekua wazito kutoa pdf. Watu tuna pdf hadi za call for interview tutaanza kurencocile huko kama hao waliopata wamefanya written? Tutarudi kwenye pdf ya oral kureconcile mpaka tujue haki imefanyika au la? ndio maana wanaogopa kutoa pdf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…