ANoblePerson
JF-Expert Member
- Sep 30, 2023
- 466
- 701
Innojembe. Usihifadhi chuki kiasi hichi Mkuu daaaàh ndo Li IT😂😂😂Lisubirieni li IT lenu lije na possible
Kuna Mkuu mmoja humu alichoka Hadi akawaita Hawa UTUMISHI NI MIPUNGA😂😂😂🤣😄😄kuna pdf uko. la call for interview lakin
Kuanzia Leo Hadi jpil Kuna mikeka iliyoshiba..Kuna Mkuu mmoja humu alichoka Hadi akawaita Hawa UTUMISHI NI MIPUNGA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1][emoji1]
Ya madereva na wapishi😄😄😄😄Kuanzia Leo Hadi jpil Kuna mikeka iliyoshiba..
Wakuu msikate tamaa soon mtaanza kuja na shuhuda humu
Innojembe. Usihifadhi chuki kiasi hichi Mkuu daaaàh ndo Li IT[emoji23][emoji23][emoji23]
na ni mipunga kweli wala si utani.haiwezekani mtu amalize mwaka matokeo hayajuiKuna Mkuu mmoja humu alichoka Hadi akawaita Hawa UTUMISHI NI MIPUNGA😂😂😂🤣😄😄
mambo gani hayo pilau ninim
mwambie atume fasta kabla bando halijaishia kwenye mambo yasiyompendeza mungu..
Mkuu ni kweli unaumizwa tu na ucheleweshwaji wa placement utumishi? au kuna sabab nyngineUtumishi kwishaa habarii yaoo....ni jambo jema psrs kupunguziwa majukumu....mama anaupiga mwingii
Ni kweli nakumbuka wakati natafuta kazi kwa nguvu sana miaka hiyo nlishawah kutumia email ya kuwa nimefeli interview ilhali sikuitwa hata kwenye hiyo interview nilishangaa sana, kumbe hr aliambiwa atuite ye akaita watu wake alafu kwenye kutuma email ya kufeli interview na sisi tukatumiwa kwamba interview tuliohudhuria hatujafaulu kuendelea na mchakato, ni maaajabu lakini ni Tanzania na haya mambo yanatokea,Jamani Mimo nimtaalamu wa Tehama, Hizo Email ni kweli kabisa wala sio Sparm ...cz ina Private Domain so ni valid kabisa na wala hazina shaka yoyote.
Kuhusu why watumiwe EMAILS na sio PDF Sababu ni hizi hapa.
Kwanza ni bora wao Email, wengine waliitwa practical Interview Kwa sms, tena one day before ambayo ilikuwa haijawa planned...
Ila mimi Naona Bora wasitoe Majina Maana wakitoa majina ,kuna watu wana Pdf ya walioitwa Interview wataangalia na Pdf ya Walipata ya mungu mengi kuna watu labda hawakufanya interview ila jina bahati mbaya limetokea kwenye mkeka Typing Error.....So watanzania lazima tu wataanza mapungufu...
Tatu; kuna majina ambayo either mwisho yana ubini na wa viongozi lazima italeta shida cz kuna asilimia 99 wapo...So walichotumia Tra ni busara....... Japokuwaaaa;-
Mkataba ukiisha wanathibitishwa kaziniHizi ni za mkataba
Mbona Kuna za tanroads za mkataba zilitangazwa mwaka huu zikapitia UtumishiZa mkataba taasisi zenyewe ndio huwa zinaajiri , nakumbuka hata Tanroads huwa wanafanya hivyo
Mkataba ukiisha umeisha Hamna jipya zaidi ya kupata stahiki zako.Mkataba ukiisha wanathibitishwa kazini
Ww umewahi kufanya kazi serikalini za mkataba?Mkataba ukiisha umeisha Hamna jipya zaidi ya kupata stahiki zako.
Niwatonye au Nisiwatonye?Ww umewahi kufanya kazi serikalini za mkataba?
Naomba ututonyeNiwatonye au Nisiwatonye?
[emoji23][emoji23][emoji23]mambo si rahisi kiasi hichoMkataba ukiisha wanathibitishwa kazini
Inasemekana yule jamaa anaechomelea picha amepigwa na kukandwa amekandwa kwenye ile practicalila web pamenuna vibaya yaani ukifungua unakutana na cheche tu watu wanachomelea vyuma mara mwingine anapuliza rangi 🤣 🤣