Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Jamani Mimo nimtaalamu wa Tehama, Hizo Email ni kweli kabisa wala sio Sparm ...cz ina Private Domain so ni valid kabisa na wala hazina shaka yoyote.

Kuhusu why watumiwe EMAILS na sio PDF Sababu ni hizi hapa.

Kwanza ni bora wao Email, wengine waliitwa practical Interview Kwa sms, tena one day before ambayo ilikuwa haijawa planned...

Ila mimi Naona Bora wasitoe Majina Maana wakitoa majina ,kuna watu wana Pdf ya walioitwa Interview wataangalia na Pdf ya Walipata ya mungu mengi kuna watu labda hawakufanya interview ila jina bahati mbaya limetokea kwenye mkeka Typing Error.....So watanzania lazima tu wataanza mapungufu...

Tatu; kuna majina ambayo either mwisho yana ubini na wa viongozi lazima italeta shida cz kuna asilimia 99 wapo...So walichotumia Tra ni busara....... Japokuwaaaa;-
Ni kweli nakumbuka wakati natafuta kazi kwa nguvu sana miaka hiyo nlishawah kutumia email ya kuwa nimefeli interview ilhali sikuitwa hata kwenye hiyo interview nilishangaa sana, kumbe hr aliambiwa atuite ye akaita watu wake alafu kwenye kutuma email ya kufeli interview na sisi tukatumiwa kwamba interview tuliohudhuria hatujafaulu kuendelea na mchakato, ni maaajabu lakini ni Tanzania na haya mambo yanatokea,
 
Vijana niliwaambia kuwa taasisi kuajiri wenyewe kama wewe ni mtoto wa mkulima jembe la mkono utasubiri sana. TRA kiko wapi?
Watu wameitwa kwa email kuripoti leo kimya kimya. Interview wameitwa kwa pdf, practical kwa pdf, oral kwa pdf, placement kwa EMAIL.
Madogo walioingia top ten written na Practical hawajapata EMAIL inamaana walifeli Oral? Hahahaaa!
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki PSRS
 
Back
Top Bottom