Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kuna kitu nimenote, vijana wa TEHAMA wanachagua kazi za kuomba. Ukiangalia idadi ya vijana wa Tehama waliofanya interview TRA ni kubwa 800+ na waliofanya LGA/MDA juzi mwezi November hawazidi 40.
kuna jamaa angu tumesoma nae mambo ya tehama yeye anafanyaga interview za eGa tu. ila sisi wengine hatuchagui kutokana na maisha yetu tunayoishi tunahitaji kazi sehem yoyote ile ili maisha yaende
 
Kuna kitu nimenote, vijana wa TEHAMA wanachagua kazi za kuomba. Ukiangalia idadi ya vijana wa Tehama waliofanya interview TRA ni kubwa 800+ na waliofanya LGA/MDA juzi mwezi November hawazidi 40.
Hapana Mkuu ujue IT ina vitengo kama 5 hivi na zaidi

1. System administrator.
2. System analysitst.
3. Sytem Security.
4.Networking
5. Database administrator.....

So mtu mwenye bachelor ya IT au computer science anaomba nafasi yoyote hapo.

So hiyo factor ina affect idadi ya wasaili....Mfano watu wa security hawawagi wengi, wengi wanakuwaga Networking ....Pia ukifatilia trend now muamko wa watu kwenda kufanya usaili UTUMISHI umeshuka, kwa sababu ya kuchelewesha placement ...wengi wanaombaga ila unakuta wanatokea wachache .
 
Hapana Mkuu ujue IT ina vitengo kama 5 hivi na zaidi

1. System administrator.
2. System analysitst.
3. Sytem Security.
4.Networking
5. Database administrator.....

So mtu mwenye bachelor ya IT au computer science anaomba nafasi yoyote hapo.

So hiyo factor ina affect idadi ya wasaili....Mfano watu wa security hawawagi wengi, wengi wanakuwaga Networking ....Pia ukifatilia trend now muamko wa watu kwenda kufanya usaili UTUMISHI umeshuka, kwa sababu ya kuchelewesha placement ...wengi wanaombaga ila unakuta wanatokea wachache .
Ndo wawahishe placement Sasa maana hizi ndiyo miongoni mwa changamoto zinazowakosesha credit hao UTUMISHI
 
WAKUU ZA ASUBUHI, LEO NI J.PILI ILA YULE IT WA PDF NIMEAMBIWA KAINGIA KAZINI NA SIO KAWAIDA YAKE LEO KUINGIA .....SO NAOMBA KUULIZA KUNA RATIBA YA INTERVIEW NYINGINE LEO???
Hamna interview 😂😂 atupie PDF watu walete shuhuda
 
Kwa uzoefu wangu mdogo taasisi nyingi entrace level scale zao zinacheza 1.2-1.5M kwa graduate ukiondoa zile giant eGA, TCRA, TRA, TPDC, TMA, CSMA, TASAC, NIMR, TBS hawa wanaogelea
Huko NIMR, kumbe pamoto Sana
Mkuu graduate ambaye ni Research Assistant anafika ngapi asee
 
Hili suala la kuchelewesha kuita watu placement, kama ingekuwa ulaya wenzetu wanajielewa wangeweza kuji organise vizuri....watu wakasusia interview. Ila Bongo njaaa mtu anaona kususa kwako interview kwake ni fursa...

Yani wanatakiwa siku wanaenda venue, watu wote wanagoma kuingia theater au hawatokei kabisa...hapo mshawapanga watu wa Media camera kama zote....

Mnawaambia hawa watu sisi wanatusaidia sana, na hatutaki wajitoe kwenye kusimamia usaili ila tunataka utata wa kuitwa kazini ukome.... Mwezi mmoja inatosha mtu kuitwa kazini badara ya oral.

.Cz kuchelewa kumuita mtu kazini, ni kumtengenezea uraibu mbaya wa kuweka bundle kila baada ya siku kadhaaa ili kuangalia update . ....

so through that means hope ujumbe ungefika kwa wakuu na wangeona changamoto hiyo na kuona wanawaongezea vipi utumishi majukumu.

Wakuu kuweka bundle kila siku na kwenda kurefresh page ya Utumishi kucheck Placement wewe ni mgonjwa wa uraibu kama mgonjwa mwengine wa uraibu wa drugs ..... Kwa siku unaingia page ya utumishi 50 times... UTUMISHI MNAWASABABISHIA VIJANA UTINDIO WA UBONGO.
 
Hili suala la kuchelewesha kuita watu placement, kama ingekuwa ulaya wenzetu wanajielewa wangeweza kuji organise vizuri....watu wakasusia interview. Ila Bongo njaaa mtu anaona kususa kwako interview kwake ni fursa...

Yani wanatakiwa siku wanaenda venue, watu wote wanagoma kuingia theater au hawatokei kabisa...hapo mshawapanga watu wa Media camera kama zote....

Mnawaambia hawa watu sisi wanatusaidia sana, na hatutaki wajitoe kwenye kusimamia usaili ila tunataka utata wa kuitwa kazini ukome.... Mwezi mmoja inatosha mtu kuitwa kazini badara ya oral.

.Cz kuchelewa kumuita mtu kazini, ni kumtengenezea uraibu mbaya wa kuweka bundle kila baada ya siku kadhaaa ili kuangalia update . ....

so through that means hope ujumbe ungefika kwa wakuu na wangeona changamoto hiyo na kuona wanawaongezea vipi utumishi majukumu.

Wakuu kuweka bundle kila siku na kwenda kurefresh page ya Utumishi kucheck Placement wewe ni mgonjwa wa uraibu kama mgonjwa mwengine wa uraibu wa drugs ..... Kwa siku unaingia page ya utumishi 50 times... UTUMISHI MNAWASABABISHIA VIJANA UTINDIO WA UBONGO.
Naomba hili bandiko lichukuliwe libandikwe kwenye nguzo zote za umeme barabarani, na vyuoni kote na pale Dkt. Asha Rose Migiro Building
 
Alafu mbona utumishi hesabu ni rahisi tuuu.... Mfano taasisi ya A inapeleka Tangazo utumishi kuhitaji watumishi 5.

Utumishi wawaulize taasisi A leo ni tarehe 10/dec/2023.. je hawa watu nyinyi mnawataka kwa siku gani.

Taasisi A watajibu ...hawa vijana tunawataka isifike tarehe 10/ Sept/2024.

So ukiangalia interval hapo ni karibia miezi 10.... Yote. So utumishi wao wasipost hilo tangazo leo wakaae atleast wakapost 1/6/2024....

Ambapo watatumia zile week mbili watu wataomba, hizo nafasi.... So itaenda hadi tarehe 14/6/2024.

Thn watumie mwezi mzima kushotlist watu.... ambayo itakuwa 04/07/2024.

Watangaze siku ya interview ...mfano wanawekaga week moja mbele.

So interview itafanyika 11/07/2024 tuseme iende hadi 15/07/2024.

Kama watu wakimaliza Oral... Tarehe 15/07/2024 ....cz majibu ya oral yanakuwa yamepatikana ukimaliza tu kujielezea pale.....Je kutoka tarehe 15/07/2024.....hadi tarehe 15/08/2024 mtu si anatakiwa awe ameshajua kama kapata ajira au kakosa????

So ukiangalia interval hapo niliyoweka ni kutoka tarehe 1/06/2024....kutoka tangazo limetangazwa hadi 15/08/2024 mtu kuitwa kazini ni almost 2 months.... Na nimweka Clear kabisa...
-------------------------
Sasa unakuta utumishi , Kuomba tu kazi na kuitwa interview unaweza tumia miezi 5 hiyo ni Torture kabisa , Na pia inaonekana Idadi yao ndogo maana kila ukienda interview most of the Time sura zile zile.... Yani wale sidhani kama wanafika 70 watumishi wote.
 
WAKUU ZA ASUBUHI, LEO NI J.PILI ILA YULE IT WA PDF NIMEAMBIWA KAINGIA KAZINI NA SIO KAWAIDA YAKE LEO KUINGIA .....SO NAOMBA KUULIZA KUNA RATIBA YA INTERVIEW NYINGINE LEO???
Very soon anamwaga PDF [emoji23][emoji23]
 
UTUMISHI @sekretariet ya ajira . Mnamazuri mengi sana ... Tena millenium ila hili Kuchelewesha placement ... kiukweli mnaua nguvu kazi ya Taifa ....Vijana wanapata torture kwenye Ubongo, yani akiamka asubuhi anakazi ya kusema labda leo....mtu ana miezi sita (6) anasubiria Mkeka 😭😭😭....it real pain
 
Hapana Mkuu ujue IT ina vitengo kama 5 hivi na zaidi

1. System administrator.
2. System analysitst.
3. Sytem Security.
4.Networking
5. Database administrator.....

So mtu mwenye bachelor ya IT au computer science anaomba nafasi yoyote hapo.

So hiyo factor ina affect idadi ya wasaili....Mfano watu wa security hawawagi wengi, wengi wanakuwaga Networking ....Pia ukifatilia trend now muamko wa watu kwenda kufanya usaili UTUMISHI umeshuka, kwa sababu ya kuchelewesha placement ...wengi wanaombaga ila unakuta wanatokea wachache .
Nimeona pia Mobile application developer. Sasa huyu Halmashauri anaenda kufanya nini?
 
Huko NIMR, kumbe pamoto Sana
Mkuu graduate ambaye ni Research Assistant anafika ngapi asee
Kazi za research sasa hivi wameweka kigezo cha GPA kama Tutorial Assisstant bila Upper second huwezi kuwa Research Fellow na ndio maana hata Scale za watu wa research ziko juu. Wote mnaweza kuajiriwa taasisi moja na wote mna degree ila Researcher atakuzidi
 
Kazi za research sasa hivi wameweka kigezo cha GPA kama Tutorial Assisstant bila Upper second huwezi kuwa Research Fellow na ndio maana hata Scale za watu wa research ziko juu. Wote mnaweza kuajiriwa taasisi moja na wote mna degree ila Researcher atakuzidi
Kwani sindyo GPA 3.8+ au wamepandisha tena
 
Back
Top Bottom