ANoblePerson
JF-Expert Member
- Sep 30, 2023
- 466
- 701
Kumbe inawezekana. Ila ni kupitia kwenye tundu la sindano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe inawezekana. Ila ni kupitia kwenye tundu la sindano
Hana Kazi , Anaenda kuwa IT tu wa kawaida ...Kuingiza data kwenye mfumo na vishughuri vya hapa na paleNimeona pia Mobile application developer. Sasa huyu Halmashauri anaenda kufanya nini?
hayo mautumishi ni machoko aisee...UTUMISHI @sekretariet ya ajira . Mnamazuri mengi sana ... Tena millenium ila hili Kuchelewesha placement ... kiukweli mnaua nguvu kazi ya Taifa ....Vijana wanapata torture kwenye Ubongo, yani akiamka asubuhi anakazi ya kusema labda leo....mtu ana miezi sita (6) anasubiria Mkeka 😭😭😭....it real pain
Kabla ya kuwalaumu utumishu ushajaribu upande ule wanaotoa Placement kwa email ukaona mziki wake?hayo mautumishi ni machoko aisee...
kwann wampeleke halmashauri kwani hawawezi kumpeleka sehem nyingneNimeona pia Mobile application developer. Sasa huyu Halmashauri anaenda kufanya nini?
Ndio ni kweli, lakini unaweza kaa hata miezi 11... Ndio ukaitwa kufata baruaHuu Uzi badala ya kunipa faraja uninikondesha.
Mna uhakika ikibaki selected for oral unakuwa ushatoboa?
Hapa tuu ndo kipengele...saiv naona Tyr miez Saba since oral dadeqNdio ni kweli, lakini unaweza kaa hata miezi 11... Ndio ukaitwa kufata barua
Walishaita idadi yao waliyokuwa wametangaza yote?Hapa tuu ndo kipengele...saiv naona Tyr miez Saba since oral dadeq
MDAs and LGAs cjui shda Iko wapi... utumish hawataki kuachia placement.Walishaita idadi yao waliyokuwa wametangaza yote?
Tuwe tu na subiraMDAs and LGAs cjui shda Iko wapi... utumish hawataki kuachia placement.
Usiwaze mkuu hawajumlishi chochote, kama Umefanya vizuri Oral subiria asali tudaaah kwenye written nilikuwa wa mwisho kuitwa kama selected. kati ya watu 8....nikaingia kwenye oral na saiv nmeandikiwa selected for oral kwenye both app na website sijui ntatoboa ??...maana nawaza kama wakijumlisha na za written ntachinjiwa baharini
Hyoo 1.2 -1.5 sio haba kwa mkulungwa ambae umetoka mtaani moja kwa mojaKwa uzoefu wangu mdogo taasisi nyingi entrace level scale zao zinacheza 1.2-1.5M kwa graduate ukiondoa zile giant eGA, TCRA, TRA, TPDC, TMA, CSMA, TASAC, NIMR, TBS hawa wanaogelea
Sio haba wakikatakata hapo unaondoka na chochote kitu laki 9 hukosi.Hyoo 1.2 -1.5 sio haba kwa mkulungwa ambae umetoka mtaani moja kwa moja
kwenye afya kuna hela za kumwagaHuko NIMR, kumbe pamoto Sana
Mkuu graduate ambaye ni Research Assistant anafika ngapi asee
Kwenye mataasisi labda, Ila huku local government ni shida tu japokuwa wao Afya Mambo si hapa ukilinganisha na kada zingine huko halmashaurikwenye afya kuna hela za kumwaga