Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

🤣🤣🤣 we jamaa upo seriously kweli
amna kitu kama icho we tulia unaweza ukajibu maswali yote na ukafeli kuliko aliyejibu 4 mbona mie mwenzio nilijibu swali 1 tu la introduction lakin kila saa nachungulia placement na ninauhakika nitatoboa tu..
 
Si mtafutane in personal mzichape tu watoto wa kiume kurushiana maneno mitandaoni sio kabisa🚮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…