Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Usisahau kupiga picha hiyo masjala ya wazi utume picha humu tuione😊😊
 
Safri salama..wasalmie masijala ya wazi[emoji3]....oya kati ya watu waliokuwa washaanza ku give ni wewe[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hapo kwenye status ndipo mnanichanganyaga Mimi
Maana Mimi sielewi hiyo ya app na web[emoji3166][emoji3166]
Mkuu baada ya oral inatakiwa isome SELECTED FOR ORAL both web and app

Ukipata placement huwa hakuna mabadlko according to walioramba asali.
 
Safi sana, huku taka kukawia 😂, good news sana hizi
 
Ndugu yenu pia hii ni December to Remember Mungu amenitendea.

Nawasihi msikate tamaa pambaneni.
Mkuu hongera sana kila la kheri katika utumishi wako, ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi hakika Mungu ni mwema mkuu
 
Usisahau kupiga picha hiyo masjala ya wazi utume picha humu tuione[emoji4][emoji4]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Na furaha aliyonayo sijui kama atakumbuka.

Maana ile kucheki jina unakuta ni lako kiusahihi, kuna kakiwewe fulani hivi kinakujia huku ukigubikwa na kujiamini sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…