Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mkuu nasisitiza, shukuru umepata hiyo kazi, unavoendelea kushuhudia hapa unaanza kuwavua nguo utumishi.
Maswali mawili hukujibu, na hata uliyojibu hukumbuki ulijibu nini na bado ukachomoka kwa database "best loser".
Ndio ujue kuwa kufauru oral kuna vitu vingi, nimeorodhesha hapo . Na hawataki ujifanye much know... Hata wao wana vitu vyao wanaangalia haiwezekani mtu apate written 80, practical 80+ ...thn oral ashindwe basi wam cancel ...so kuna vitu vingi wanaangalia zaidi ya unachokijibu....maana wakitaka uende jino kwa jino....wataanza kuicheck hata hiyo english yako 🤣 na grammar zake ..
 
Wakuu Utumishi Connection hakuna wewe make sure unafanya vizuri...thn tulia unaweza ukaa hata database ikapita mwaka , kidogo vuuup Kwenye dimbwi la asali
Jitahidi kutumia muda mwingi KUMSHUKURU Mungu kwa kukupa hiyo kazi.

Kuliko kutumia muda mwingi kuitetea utumishi.

Mimi namfaham mtu niliyefanya kazi nae na kila Siku alikuwa anatuambia ajira za utumishi zikija lazima apate kazi.

Mimi nakadhani anatania lakini tulienda dodoma kufanya nae interview tukapiga oral na written majina ya kazi kutoka jina lake la kwanza.

Kiukweli jamaa alikuja kunuchana alitengenezewa mazingira name hadj maswali ya oral na written alikuwa nayo.

Utumishi connection ipo ila kwa asilimia hazifiki kumi.
 
Ila kupata wewe kazi.

Kusikufanya ukawa mjinga kuwasifia utumishi na kuwasahau kuna kundi kubwa la watu linahitajika kutiwa moyo na kupewa faraja.

Unajiita chawa wa mama inakusaidia nini?
 
Kwa ulichokiandika hapa, hupaswi kuwa na imani hiyo ya kuwa utumishi wako fair na wala usiamninishe tena watu kuwa wako fair.
 
Mzee tulia ukale ulale unaongea pumba sana na umekuwa kama mwehu fulani
 
Kutia huruma tena mkuu?? Unafanyaje kutia huruma?
 
Shukrani kwa feedback mkuu, ila sidhani kama kuna sehemu nimeongea uingie na materials ndani ya chumba cha mtihani

Ukiigilizia hakuna ushahidi wowote ule ambao utumishi watautumia kukupa adhabu yoyote ile, Sana sana watakubadirishia eneo la kukaa
 
Wakuu I mean a battle between innojembe na ITpersonal hawa watu niliinjoi bifu Lao.

Ila ndo hivyo It katuacha sisi jobless.

Natangaza Rasmi bifu na bwana anajiita Utumishi wako fair.

Ili bifu litadumu hadi mimi nitakapopata placement
🤣🤣 Boss nakuahidi kazi utapata, hakuna connection wewe omba Mungu kapige interview yani huwezi piga interview 3 mfululizo ukakosa lazima upate... Mimi nina shuhuda rafiki zangu asilimia kubwa wamekula vitengo ,tena wao ndio walikuwa wakwanza kuingia utumishi wakawa wananiambia RAJABU kaza unatoboa...Na kweli....So hata wewe mkuu kaza unatoboa wallah.

Mimi kuanzia january Nitakuwa sichart humu sababu nitabanwa na majukumu ya kazi yangu mpya,.

Nitakuwa nafanya kazi kama punda, nitalala offcn mara moja moja🤣🤣
Pia nitakuwa nakuja kuwatia moyo vijana wenzangu, cz i know ujobless sio kitu kizuri kabisa ,yani bora jobless awe mtoto wa kike ila sio mshkaji cz unakuwa ile thamani yako haipo yani hata simu za washkaji huoni....

Mimi dua zangu, Mama samia suruhu aendelee kubakia madarakini naamini vijana wengi watatoka kwenye hili dimbwi... Wewe kaangalie trend ya ajira alizotoa since amekuwa madarakani.. yani Mheshimiwa alimwaga ajira mpka watu wakaanza dharau za kuchagua kazi ,yani mtu anapangiwa Halmashauri anasema siendi, nasuburia nyengine ndio uone uhakika wa kazi ulivyo mkubwa, cz haiwezekani leo uletewe ugali useme huu sitaki nataka wali kama huna uhakika wa wali.

So naomba matangazo ya kazi yawe mengi kuanzia january, ili watu waombe...

Pia all in all nawaombea wote humu ,mpate kazi before mwaka 2024 kuisha... Amiiin .
 
Unakuta raia ananyuka Suti ,yani ile yenyewe kabisa. Sio suit kachumbari zile za karume pale...Yani Suit yenyewe kabisa.. ananukia unyunyu saa moja kaliiiii 🤣. Bro pendeza ila usipendeze sana mpka waone mambo safi ....
😂Ila hii nchi yetu bado ngumu sana aisee kwahyo mtu usipendeze kisa?? Kwenye mavazi labda usivae kihuni ila kama umevaa vizuri na unajua unachofanya kwenye interview i think its okay!
 
😂Ila hii nchi yetu bado ngumu sana aisee kwahyo mtu usipendeze kisa?? Kwenye mavazi labda usivae kihuni ila kama umevaa vizuri na unajua unachofanya kwenye interview i think its okay!
Hiyo nimeweka chumvi tu Mkuu, ila katika kupitia pita Maandiko ya Joel Nanauka..... Kuna siku niliona Article hiyo.' akatolea mfano; wakija watu wawili hapo wakakuomba mfano kitu fulani, Basi kuna mmoja utampa either kingi au kidogo ya mwenzake with no reason' ...
 
- unataka tujue maandiko yako nyuma tutajie ID yako ya zamani
 
Mkuu nasisitiza, shukuru umepata hiyo kazi, unavoendelea kushuhudia hapa unaanza kuwavua nguo utumishi.
Maswali mawili hukujibu, na hata uliyojibu hukumbuki ulijibu nini na bado ukachomoka kwa database "best loser".
Mkuu usiwe serious kiivyo wacha watu waonyeshee Furaha zao.
 
Na jina umebadilisha utumishi [emoji3]
 
Asante kwa ufafanuzi mkuu, japo pia wakati mwingine unakuta mshapanga formula nje namna ya kukaa mkiingia mle ndani jamaa wanapangua hapo ndio panaanza kuwa pagumu na unakuta zile dk 40 zao hazitoshi, ila yote kwa yote la muhimu hapo ni kujiandaa vizuri tuu mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…