Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kama una uhakika na mishe zako za huko mtaani,huku hapakufai. Ni kupotezeana tu muda. Katika maishi nimejifunza kusimamia na kukamilisha kile ulichokianza. Haya mambo ya kuhama leo huku unafanya jambo hili kesho kule unafanya jambo lile yanaturudisha sana nyuma.
kwan ni halmashauri zote au inategemea na halmashauri??
 
Wakuu naomba kuuliza inakuwaje utumishi wanaita watu 150+ kwenye oral na idadi ya ajira zilikuwa 10. Maana naona uwiano unakuwa mkubwa sana. Naomba mwenye experience anipe ufafanuzi
 
Kama una uhakika na mishe zako za huko mtaani,huku hapakufai. Ni kupotezeana tu muda. Katika maishi nimejifunza kusimamia na kukamilisha kile ulichokianza. Haya mambo ya kuhama leo huku unafanya jambo hili kesho kule unafanya jambo lile yanaturudisha sana nyuma.
Usemacho ni kweli kabisa mkuu, na hasa kama unafanya kazi za Desk, kitendo cha kuingia job asubui na kutoka jioni alafu mwisho wa mwezi usubiri laki 8 ni kasheshe kama mtaani ulikuwa unaingiza zaidi ya hiyo au inayoendana na Salary

ila kwa ambao wanafanya kazi za field ni unyama sana Mkuu, km utafika ofisini asubui ukasaini unasepa zako ndo imetoka hiyo, hadi kesho tena au siku ingine utakayoamua kwenda ofisini

So unaweza kukaa ata siku 3 hujakanyaga ofisini, ila kama una viongozi wakuda we ni kuingia na kusaini kisha safari, hapo ata km unalipwa laki 5 we fresh tu kwa sababu unautumia muda wako vizuri sana kiasi kwamba unaweza ukawa unafanya kazi Singida ila unafata biashara mwanza kila week

Na una fursa ya kukopa na kuongeza kwenye mtaji wako ili kuongeza mzunguko, kwahiyo kazi za Halmashauri inategemea na nature ya kazi yako, kuna raia waga hazionekani job ata mwezi mzima kwa sababu yeye ni mtu wa field
 
Usemacho ni kweli kabisa mkuu, na hasa kama unafanya kazi za Desk, kitendo cha kuingia job asubui na kutoka jioni alafu mwisho wa mwezi usubiri laki 8 ni kasheshe kama mtaani ulikuwa unaingiza zaidi ya hiyo au inayoendana na Salary

ila kwa ambao wanafanya kazi za field ni unyama sana Mkuu, km utafika ofisini asubui ukasaini unasepa zako ndo imetoka hiyo, hadi kesho tena au siku ingine utakayoamua kwenda ofisini

So unaweza kukaa ata siku 3 hujakanyaga ofisini, ila kama una viongozi wakuda we ni kuingia na kusaini kisha safari, hapo ata km unalipwa laki 5 we fresh tu kwa sababu unautumia muda wako vizuri sana kiasi kwamba unaweza ukawa unafanya kazi Singida ila unafata biashara mwanza kila week

Na una fursa ya kukopa na kuongeza kwenye mtaji wako ili kuongeza mzunguko, kwahiyo kazi za Halmashauri inategemea na nature ya kazi yako, kuna raia waga hazionekani job ata mwezi mzima kwa sababu yeye ni mtu wa field
Wapi huko wanalipa Hadi hizo laki 8
Mbona kwa entry level bachelo's wengi halmashauri ni TGS D 765,000 na TGS E 1,000,000 na hizi ni basic bado makato.
 
Aise nimefatilia maongezi ya watu wengi humu asa wadau wenzangu wa Halmashauri, lakin chakushauri tu washikaji tusikate tamaa, mungu yupo na bado anapambania ndoto zako.
Nina ndugu yangu mmoja alianzia kazi Halmashauri tena kigoma vijijini ila kakomaa kipindi kirefu kidogo saivi yupo TRA, na mfano mwingine kuna watumishi wamehamia kutoka halmashauri kuja uku nilipo na wanalalamika kweli walipotoka hali sio nzuri lakini walipambana pasipo kutoa chochote na wameshatoka uko.
Ushauri wangu ni kwamba tusichoke kupambana hapo ulipo ni mungu kapanga uanzie apo kwaiyo omba mungu pia akupeleke unapopatamani na ukiwa bado unapambana.
 
Wapi huko wanalipa Hadi hizo laki 8
Mbona kwa entry level bachelo's wengi halmashauri ni TGS D 765,000 na TGS E 1,000,000 na hizi ni basic bado makato.
Wanalipa kwenye Halmashauri zote mkuu inategemea tu wewe ni mtu wa Kada gani

Ni kweli entry level bachelor's wengi halmashauri wanaanzia TGS D na TGS E, ila wengine tumeanza na TGS E kwenye 1.3M

Naongelea Veterinary medicine
 
Wanalipa kwenye Halmashauri zote mkuu inategemea tu wewe ni mtu wa Kada gani

Ni kweli entry level bachelor's wengi halmashauri wanaanzia TGS D na TGS E, ila wengine tumeanza na TGS E kwenye 1.3M

Naongelea Veterinary medicine
Kumbe MD Yuko juu kwa vet
 
Back
Top Bottom