Usemacho ni kweli kabisa mkuu, na hasa kama unafanya kazi za Desk, kitendo cha kuingia job asubui na kutoka jioni alafu mwisho wa mwezi usubiri laki 8 ni kasheshe kama mtaani ulikuwa unaingiza zaidi ya hiyo au inayoendana na Salary
ila kwa ambao wanafanya kazi za field ni unyama sana Mkuu, km utafika ofisini asubui ukasaini unasepa zako ndo imetoka hiyo, hadi kesho tena au siku ingine utakayoamua kwenda ofisini
So unaweza kukaa ata siku 3 hujakanyaga ofisini, ila kama una viongozi wakuda we ni kuingia na kusaini kisha safari, hapo ata km unalipwa laki 5 we fresh tu kwa sababu unautumia muda wako vizuri sana kiasi kwamba unaweza ukawa unafanya kazi Singida ila unafata biashara mwanza kila week
Na una fursa ya kukopa na kuongeza kwenye mtaji wako ili kuongeza mzunguko, kwahiyo kazi za Halmashauri inategemea na nature ya kazi yako, kuna raia waga hazionekani job ata mwezi mzima kwa sababu yeye ni mtu wa field