Mkuu hakuna ukweli wowote na hizo Mambo z kuaga au kutokuaga, ila kwa Akili ya kawaida tu unaaga watu ili iweje ilhali unaenda kubeti?
Aga kama kitu una UHAKIKA nacho, ila unaaga alafu baada ya muda watu wanaendelea kukuona tena uraiani ni wazi utaonekana ulifeli interview, sasa Kwanini uwape watu vitu vya kusema
We Sepa kimya kimya na lengo ni kukaa kwa Amani kitaa pindi utakaporudi kuskilizia ili ata ukizingua watu hawajui kama ulienda interview
Huwa inakera watu wanapojua ulienda interview na bado unaonekana kitaa Tu ata kama utumishi watachelewa kukupangia kituo wao hawajui hayo, wao wanajua ulifeli Tu na kuonekana Mzigo kitaa
Turudi kwenye point ya msingi nini ufanye utoboe, Kwanza inaonekana Kada yenu inatoa Ajira chache ndomana hadi Written wanaanza kuchukua 75, it means nawewe inabidi uset standard ya kuanza kupata kuanzia at least 75
Written ya Kwanza hukufika 50, ila ya pili ukafika 65, that means ya pili uliongeza juhudi katika kujiandaa, ndo kitu unachotakiwa kukifanya kwenye interview inayofata, kwenye Written jitajihidi uwe miongoni mwa best performer kisha kwenye Oral acha Lucky ichukue mkondo wake
Na kingine cha muhimu kabisa, mitihani ya Utumishi sio necta, jitajihidi kwa mbinu yoyote ile uhakikishe unapata mark's za kutosha, unapoingia kwenye pepa chagua watu ambao unajua wako vizuri, na hasa wale fresh from school vichwa waga bado viko fresh, au jamaa zako ambao unajua walikuwa visomo sana ndio ukae nao
Na ukiona swali halitembei Kwa uwezo wako fanya juu chini usaidiwe, muache utoto wa shule kwamba utaonekanaje ukiomba majibu, hapo upo unatafuta future ambayo inaweza ikaamliwa na Makaratasi Tu, kwahiyo jibu swali ambalo Una uhakika nalo Tu na kama sio sumbua watu wakupe majibu
Ukipita Oral hapo waga ni 50/50 haijarishi ulifanya vizuri au ulifanya vibaya, Siri ya oral wanaijua hao hao utumishi, tupo watu ambao tulitoka kwenye oral tumefanya hovyo ila tukapata kazi, ila kazi inaanzia kwenye Written not otherwise