Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ikifika 2025 , amka zako asubuhi nenda sanduku la kura kampigie Tick inshaallah Rais: samia suluhu.

Sasa wewe jifanye unakaza kichwa, na ubishi wako...ila huo ndio usalama wako wa kuendelea kuziona hizo nafasi za ajira unless... Ushawaona waroho wa madaraka wanavyosema Taasisi ziajiri wenyewe.

Mnaniita mimi ,kibaraka ,sijui wakala... Lakini kama mimi nimepata kazi kipendeleo...

Je rafiki yako??? 🤣Maana now kila mtu kama yeye hajapata basi kuna mwanae kapata je huyo rafiki yako na yeye kapata kiupendeleo????

Akili kichwani kwako##.
jobless mstaafu mbona umekua kama umepakwa pilipili matakoni uko ofisini si watapata tabu sana.. 🤣 🤣
 
Ikifika 2025 , amka zako asubuhi nenda sanduku la kura kampigie Tick inshaallah Rais: samia suluhu.

Sasa wewe jifanye unakaza kichwa, na ubishi wako...ila huo ndio usalama wako wa kuendelea kuziona hizo nafasi za ajira unless... Ushawaona waroho wa madaraka wanavyosema Taasisi ziajiri wenyewe.

Mnaniita mimi ,kibaraka ,sijui wakala... Lakini kama mimi nimepata kazi kipendeleo...

Je rafiki yako??? 🤣Maana now kila mtu kama yeye hajapata basi kuna mwanae kapata je huyo rafiki yako na yeye kapata kiupendeleo????

Akili kichwani kwako##.
Aisee we jamaa sijui niite ni ulimbukeni wa ajira au ni nini..!!!! Ila nikushauri haya matambo na kujikuta wewe umeotea au wewe ndio mteule usije ukaleta hizi kwenye maisha halisi sababu utajitengenezea maadui wengi sana watakaokuja kama marafiki wengine watakuchukia chini chini na kusubiri anguko lako wapate kufurahi…
Acha hizi tabia za kujiona juu umepanda dau na kujifanya wewe ndio umehustle sana kuliko ambao hawana na kuleta viushauri vyako vyenye dharau ndani yake..

USIWAPE WATU SABABU YA KUPENDA KUONA ANGUKO LAKO.. NI AFADHALI MTU AKUCHUKIE OUT OF NOWHERE KULIKO KUMPA NA SABABU YA KUONGELEA HADHARANI ANGUKO LAKO
 
Boss hebu acha wenge na wewe kama serikali yenyewe tuu... Inatoa kima cha mshahara sijui ma tgs sijui nini ...ingekuwa siri kiivyo si wasingekuwa wanatoa ma pdf?? Acha roho ya korosho ... Hiyo tgs si kuna pdf zimetolewa kabisa... Au kisa mimi kusema Million roho inakuuma? Mbona kuna watu wamesema humu halmashauri sijui bei gani mbona hujawaandikia humu??? Au kisa ni ndogo ndio roho haikuumi?? Wangapi humu wanataja sijui mishahara ya tra ngapi sijui bei gani? Tena kuna uzi hadi wa goverment salary scale ..kama sio sheria kwann Moderator wameuacha??? Acha roho ya korosho utakufa vibaya.

Wewe unajua nimeajiriwa taasisi gani? Au ndio wanga wenyewe ... Hapa ni jukwaa huru kila mtu ana haki ya kuongea anachojisikia ili mradi havunji sheria ya nchi? .... Nimetuma documents yoyote humu ya mshahara... Ambayo inavunja sheria??? Vipi wale wanaosema watu wasiende halmashauri kama wana mishe zao wafanye mbona hujaenda ku comments kuwa anaikwamisha serikali watu wasiende vituo vyao vya kazi ???

Kuwa jobless sio ndio uwe una kasirika hata kwa vitu vidogo, relax mkuu...mambo yatakuwa sawa ,hata mimi nilikuwa kama wewe.

Nakusihi tuu kama mtu mzima maana kwa akili zako wewe unaonekana ni limbukeni sana furaha yako iangalie huko uendapo ukileta hizi swagger wanakula kichwa.

Na ninapokuambia wapo watu wanalipwa pesa nyingi kuliko yako na wamekaa kimya utulie mimi hako kasalary kako nakulipa miezi 3 kwa mishe yangu moja nje ya ajira. Acha ushamba.

Acha tukutolee uvivu. Unaonekana ulikuwa una njaa sana, mshukuru Mungu then kuwa na machache, zaidi ya hapo watu wanakushangaa humu kwa ushamba wako.
 
Aisee we jamaa sijui niite ni ulimbukeni wa ajira au ni nini..!!!! Ila nikushauri haya matambo na kujikuta wewe umeotea au wewe ndio mteule usije ukaleta hizi kwenye maisha halisi sababu utajitengenezea maadui wengi sana watakaokuja kama marafiki wengine watakuchukia chini chini na kusubiri anguko lako wapate kufurahi…
Acha hizi tabia za kujiona juu umepanda dau na kujifanya wewe ndio umehustle sana kuliko ambao hawana na kuleta viushauri vyako vyenye dharau ndani yake..

USIWAPE WATU SABABU YA KUPENDA KUONA ANGUKO LAKO.. NI AFADHALI MTU AKUCHUKIE OUT OF NOWHERE KULIKO KUMPA NA SABABU YA KUONGELEA HADHARANI ANGUKO LAKO
Dogo ana ulimbukeni wa kindezi sana
Ni utoto lakini
Atakua tu
Huyu ndio definition ya imaturity
 
Sasa wenye TGS B wasemeje jamani mnapo jadiri haya,Maisha hayajawahi kuwa fair,chochote unachopata ndo sitahiki yako,kuna watu hawana kabisa hata hizo TGS wanazisikia tu.

Ni kibaya ukiwa nacho,ila usipo kuwa nacho macho yatakutoka kama mjusi kabanwa na mlango,
turidhike na tunavyo vipata,
Halimashauri hakupo kuzuri kivile ila hii hali ya ujobless kitaa ni heli uende huko harimashauri ya ndani ndani huko utaweza hata kulima

Kuliko kubaki town huna mbele wala nyuma,mwili una nuka shida ,kila mtu anakukwepa ,hata simu za wana hupati.

PATA KAZI HATA YA MSHAHARA MDOGO
WATU WATAKUHEASHIMU,HATA KUKOPESHEKA UTAKOPESHEKA KWA MANGI.

Siku zote mshahara haujawahi kutosha,unapopata ajira usiache kutafuta vyanzo vingine vya kukuingizia kipato,mana kama mtaji unaweza kujichnaga mwenyewe japo kwa mda mrefu ukaanzisha chochote hata cha kukuingiza mia mbili .

UJOBLESS NI MBAYA MNO ,USIKIE KWA JIRANI TU,UNATWEZA UTU,HESHIMA INAPOTEA,UNALETA UTENGANO KWA NDUGU,UNALETA MAFARAKANO NA JAMII UNAYO ISHI NAYO .
NGUO HUWA ZINAPAUKA,SIMU NAYO INATAFUTA SABABU ZA KUTENGANA NA WEWE MARA INAKUFA SYSTEM CHARGER,AU UNASHANGAA INAIBIWA KABISA KATIKA MAZINGIRA TATANISHI,NA UKIELEZA WATU WANAKWAMBIA UMEIUZA.


HATA WAREMBO UTAWASIKI TU ,HATA UKIKUTANA NAO UWAPE SALAM HAWAITIKII.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hapo kwenye simu kuzingua kuna kipindi mambo yaliniendea mrama, kipindi hicho nilikuwa na simu niliyoinunua mwaka 2016.

Simu ilianza kuzingua bana, ikaanza touch kutorespond baadhi ya button kwa upande mmoja ikawa inanilazimu kurotate screen ndipo nitype hizo button.

Ikafuatia charger/USB kuharibika, nilikuwa natumia zile zenye label ya NOKIA, nikatafuta ya bei chee nikatumia kwa muda mfupi ikaanza kuzingua.

Kuna siku nyingine ambapo niliudhika zaidi, nilikuwa toilet sijui simu iliniponyokaje ikaangukia kwenye sink(haya masink ya kuchuchumaa sio yale ya kukalia), nilifanikiwa kuitoa fast nikaenda kuikausha bahati nzuri haikuharibika, hapo nilikuwa nimeudhika sana maana sina hela ya kununua simu nyingine nzuri.

Kwa kweli kipindi hicho sitakisahau maana ilikuwa ni tanuri la moto ila kama ilivyo kawaida "nyakati ngumu hazidumu" nilikipita hicho kipindi na nikaweza kupata simu nyingine.
 
Ikifika 2025 , amka zako asubuhi nenda sanduku la kura kampigie Tick inshaallah Rais: samia suluhu.

Sasa wewe jifanye unakaza kichwa, na ubishi wako...ila huo ndio usalama wako wa kuendelea kuziona hizo nafasi za ajira unless... Ushawaona waroho wa madaraka wanavyosema Taasisi ziajiri wenyewe.

Mnaniita mimi ,kibaraka ,sijui wakala... Lakini kama mimi nimepata kazi kipendeleo...

Je rafiki yako??? 🤣Maana now kila mtu kama yeye hajapata basi kuna mwanae kapata je huyo rafiki yako na yeye kapata kiupendeleo????

Akili kichwani kwako##.
Mkuu huu muda unaotumia kutufokea humu si ungepiga goti kushukuru Mungu!! kwani kila mtu lazima ajue umeajiriwa na unalipwa shingap?? Mbona kuna watu watu wanalipwa pesa ndefu zaidi ya hiyo na wamefunga mdomo!
 
Huu Uzi ni maalumu kwa wanaopata ajira kupitia usaili na siyo waajiriwa wa TAMISEMI hao walimu hawahusiki hapa.
Ningejuaga ningesoma HKL,HGL then nikasoma course hizi hizi hapo udsm then nikaanza kufatilia ulaji kuliko kusoma PCB then div 2 unaenda kua mwalimu wa physcs huko mpanda katavi kudadeki
 
Ningejuaga ningesoma HKL,HGL then nikasoma course hizi hizi hapo udsm then nikaanza kufatilia ulaji kuliko kusoma PCB then div 2 unaenda kua mwalimu wa physcs huko mpanda katavi kudadeki
Mkuu mimi kitu kinachoitwa advance level nilikikataa toka niko o level.. Yani kwa jinsi wale jamaa wa PCM NA PCB walivyokua wakikunjuka misuli ila bado wachache sana ambao walienda kusoma Engineering na Udaktari.. waliobaki walikua wamejitahid wameenda kwenye ualimu kitu ambacho nilikua nachukia sana mi ualimu..
Mwisho nikadecide acha niende chuo cha ufundi kupiga diploma nikaunga degree nikamaliza.. Nashukuru Mungu kwa hapa nilipo ila kama ningeenda advance PCM sijui leo ningeishia wapi mimi.. Maana Chaki nilikua naiona hii hapa😅
 
Ww msikilize huyo msajili wa hazina wadau wapo wana shine... Ushawahi ona ajira za RITA ? NIDA ? EWURA za entry level? TANESCO Mwaka wa ngapi hawajaajiri Unafikiri hakuna watumishi kule 🤣🤣 Stukaaa boy wangu
Tanesco huwa wanatamgaza, na pia Wana some sort of kuajiri wenyewe
RITA pia wametamgaza mwaka huu
EWURA pia huwa wanatangaza taasisi kama EWURA inaajiri watu wachache sana
 
Mkuu mimi kitu kinachoitwa advance level nilikikataa toka niko o level.. Yani kwa jinsi wale jamaa wa PCM NA PCB walivyokua wakikunjuka misuli ila bado wachache sana ambao walienda kusoma Engineering na Udaktari.. waliobaki walikua wamejitahid wameenda kwenye ualimu kitu ambacho nilikua nachukia sana mi ualimu..
Mwisho nikadecide acha niende chuo cha ufundi kupiga diploma nikaunga degree nikamaliza.. Nashukuru Mungu kwa hapa nilipo ila kama ningeenda advance PCM sijui leo ningeishia wapi mimi.. Maana Chaki nilikua naiona hii hapa😅
Ujinga Sana mkuu, nimesoma huko vijijini olevel nikapata one nzuri tu, advance mambo yakawa kama hayo, mwisho wa siku ndio kwenye ualimu huu ni upuuzi Sana aisee,
 
Div 2 ulikosa kozi za Afya? au haukuwa interested?.
Nilipata div 2 ya 11 nikapata kairuki ada ikazingua si unaelewa? Nikachaguliwa computer and software engineering kwa kukosa washauri nikapiga chini nikaenda kwenye ualimu, Sasa napiga hesabu hapa nisome course nyingine au nichukue masters tu, changamoto hata ya masters kwenye halmashauri ni upuuzi tu.
 
Ningejuaga ningesoma HKL,HGL then nikasoma course hizi hizi hapo udsm then nikaanza kufatilia ulaji kuliko kusoma PCB then div 2 unaenda kua mwalimu wa physcs huko mpanda katavi kudadeki
Fanya Postgraduate za fani za fedha(Insurance and Risk management, social protection na etc) kuna mtu alikuwa Mwalimu akatumia hiyo strategy na akafanikiwa sana.
 
Back
Top Bottom