ANoblePerson
JF-Expert Member
- Sep 30, 2023
- 466
- 701
Hawakubali Mkuu kuna mmoja walishindwa kutambua Wakati wa written Ila tulichoenda kwenye oral wakamwambia haiwezekani akalete original na sijui kama walimruhusu baadaye.Hvi ukiwa na cheti kilichoscaniwa then ukakiprint kikawa coloured wanakikataa pia ukiena interview utumishi? Nisaidia please
mwaka uliopita ulikua wa naniMwaka wa Mama Samia huu...ni wa Neema vijana wanalamba asali vibaya mno
Usilete uchawa humu wewe kijanaMwaka wa Mama Samia huu...ni wa Neema vijana wanalamba asali vibaya mno
🙏🙏🙏 Hakika mkuu.Mwaka wa Mama Samia huu...ni wa Neema vijana wanalamba asali vibaya mno
Mkuu upo? Halmashaur imekubanaMwaka wa Mama Samia huu...ni wa Neema vijana wanalamba asali vibaya mno
Wapiga ramli mmeanza. OkPDF za placement zipo za kutosha kuanzia kesho
Na Kabla placement za kada yako hazijatoka, then wanatangaza tena kada hiyohiyo na nafasi zilezile😅😅kwa jinsi walivyo vichwa panzi utashangaa pdf za advertisement
🤣 🤣 watafanya intervew wenyewe wakandane wenyewe kwa wenyewekwa jinsi walivyo vichwa panzi utashangaa pdf za advertisement nane.
Dah ![emoji1787] [emoji1787] watafanya intervew wenyewe wakandane wenyewe kwa wenyewe
Mwezi wa saba huu tangia Ile interview ,na kukumbusha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji1787] watafanya intervew wenyewe wakandane wenyewe kwa wenyewe
mie mwenyewe kwa staili sidhani..Dah !
Kusema ukweli utumishi washanikata hamu kabisa , mi sidhani kama nitaudhuria interview yoyote ya Hawa wapuuzi tena
Upuuzi gani mnafanyisha watu interview halafu hamuwaiti ? Au kurelease majina ?
Upuuz kabisa
nakumbuka vizuri niko moto acha tu..Mwezi wa saba huu tangia Ile interview ,na kukumbusha
Mkuu usitafute kufurushwa hapa watu tupo chokaaa balaa🥴🥴Jobless msikate tamaa..Leo jion nlkuwa na IT kasema week hii mtafurahi maan Kuna PDF za placement nyingi.
Kufurushwa kwenda wap mkuu[emoji3][emoji3]Mkuu usitafute kufurushwa hapa watu tupo chokaaa balaa[emoji3061][emoji3061]
Sawa Mkuu koment yako ndiyo ya mwisho kuisoma kwa siku ya leo.Kufurushwa kwenda wap mkuu[emoji3][emoji3]
Kuanzia kesho Kuna PDF za placement za kutosha.
Watu mjiandae kwenda masijala ya wazi ndani ya siku saba.
hapo ndio wanaponichanganya akili yangu 😂Na Kabla placement za kada yako hazijatoka, then wanatangaza tena kada hiyohiyo na nafasi zilezile😅😅