Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Oral yangu tulikuwa 5, kupambania nafasi 1.

Kabla Placement haijatoka, mmoja alipata nafasi kwenye Oral yake ya mwanzo(hii interview mimi niliishia written), tukawa tumebaki 4.

Placement yetu ilipotoka, wakabaki 3.

Baada ya miezi 10 tangu placement yetu itoke, akachomoka mmoja kutoka database, wakabaki 2.

Na leo hii hao 2 wamechomoka. Idadi imekamililka.

NB: Usiache kwenda kufanya usaili hata kama nafasi mnayopambania 1.

Hongereni wote mlioingia kundini leo, Mungu awatangulie mkawe watumishi wema huko muendako!
 
Oral yangu tulikuwa 5, kupambania nafasi 1.

Kabla Placement haijatoka, mmoja alipata nafasi kwenye Oral yake ya mwanzo(hii interview mimi niliishia written), tukawa tumebaki 4.

Placement yetu ilipotoka, wakabaki 3.

Baada ya miezi 10 tangu placement yetu itoke, akachomoka mmoja kutoka database, wakabaki 2.

Na leo hii hao 2 wamechomoka. Idadi imekamililka.

NB: Usiache kwenda kufanya usaili hata kama nafasi mnayopambania 1.

Hongereni wote mlioingia kundini leo, Mungu awatangulie mkawe watumishi wema huko muendako!
Hongera sana kwao dah Mungu ni mwema mkuu, naamini kwa asilimia 100% wote walioudhuria oral interview lazima waingie asalini ni suala la Muda Tu mkuu, kwa huu ushuhuda time will tell.
 
Oral yangu tulikuwa 5, kupambania nafasi 1.

Kabla Placement haijatoka, mmoja alipata nafasi kwenye Oral yake ya mwanzo(hii interview mimi niliishia written), tukawa tumebaki 4.

Placement yetu ilipotoka, wakabaki 3.

Baada ya miezi 10 tangu placement yetu itoke, akachomoka mmoja kutoka database, wakabaki 2.

Na leo hii hao 2 wamechomoka. Idadi imekamililka.

NB: Usiache kwenda kufanya usaili hata kama nafasi mnayopambania 1.

Hongereni wote mlioingia kundini leo, Mungu awatangulie mkawe watumishi wema huko muendako!
Kukata tamaa ni mwiko..
 
Oral yangu tulikuwa 5, kupambania nafasi 1.

Kabla Placement haijatoka, mmoja alipata nafasi kwenye Oral yake ya mwanzo(hii interview mimi niliishia written), tukawa tumebaki 4.

Placement yetu ilipotoka, wakabaki 3.

Baada ya miezi 10 tangu placement yetu itoke, akachomoka mmoja kutoka database, wakabaki 2.

Na leo hii hao 2 wamechomoka. Idadi imekamililka.

NB: Usiache kwenda kufanya usaili hata kama nafasi mnayopambania 1.

Hongereni wote mlioingia kundini leo, Mungu awatangulie mkawe watumishi wema huko muendako!
Wamekaa database zaidi ya mwaka?
 
Kuna swali najiuliza nakosa majibu au kada yangu niliofanyia interview imefutwa? Mbona kila placements sioni kada yangu?

Secondly, how comes mtu aliefanya ninterview nyuma let’s say July haitwi alaf mtu wa October au November anaitwa? Utumishi lazima muwe serious aiseee
 
Kuna swali najiuliza nakosa majibu au kada yangu niliofanyia interview imefutwa? Mbona kila placements sioni kada yangu?

Secondly, how comes mtu aliefanya ninterview nyuma let’s say July haitwi alaf mtu wa October au November anaitwa? Utumishi lazima muwe serious aiseee
Kuna kipindi mtu unaweza kuwaza labda mliferi wote..... Lakini unawaza si ningeona hata re advertisement

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna swali najiuliza nakosa majibu au kada yangu niliofanyia interview imefutwa? Mbona kila placements sioni kada yangu?

Secondly, how comes mtu aliefanya ninterview nyuma let’s say July haitwi alaf mtu wa October au November anaitwa? Utumishi lazima muwe serious aiseee
KUna watu tokea may 2022 hakuna placement....angalia title ya huu uzi
 
Kuna siku nafasi zikitoka unasikia majina hayo 2022 yanakuwa hewani...
Ninachojifuza ni kuwa mvumilivu endelea na mishe nyingine hawa PRSR ukiwafikilia sanaa unaweza kupata msongo wa mawazo bure
Nakazia.. utumishi ukiwazingatia sana lzma upate msongo wa mawazo..

Wakati tunasbr tuendelee na harakat mdogo mdogo..
 
Back
Top Bottom