Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usome na urekebishe makosa yaliyokufsnya uangukie kisogo bila shaka umeyatambua…….Nimesoma comments kadhaa za mwanzo na mwisho wa huu uzi.
Nimefanikiwa kuomba ajira fulani ambazo deadline ni wiki hii ya kwanza Januari.
Hii ni mara ya pili kuomba ajira kupitia utumishi, mara ya kwanza ilikuwa 2021 lkn nikaangukia kisogo 😎
Naimani nitaitwa kwenye interview na hatimaye ajira kamili 🙏
jipange sana maana tangia 2021 mpaka leo mambo mengi yamebadilikaNimesoma comments kadhaa za mwanzo na mwisho wa huu uzi.
Nimefanikiwa kuomba ajira fulani ambazo deadline ni wiki hii ya kwanza Januari.
Hii ni mara ya pili kuomba ajira kupitia utumishi, mara ya kwanza ilikuwa 2021 lkn nikaangukia kisogo 😎
Naimani nitaitwa kwenye interview na hatimaye ajira kamili 🙏
Kuhusu NIDA wanataka kitambulisho kabisa na sio namba ila cha kufanya wewe nenda na barua ya utambilisho ya Serikali ya mtaa wanakubaliHello, Ndugu naomba msaada kidogo, Mimi pia ni mala yangu ya kwanza kufanya application ajira portal kada ya MSAIDIZI WA HESABU II, maswali yangu ni:-
1. Majina yangu ya cheti cha kuzaliwa ni PELIUS MUKIZA LAURENT, form four na vya chuo vyote ni PELIUS M LAURENT na halafu kibaya zaidi ni kwenye nida majina ni PELIUS MUKIZA KALENGELEZI ambalo hilo la tatu ni la babu yangu JE? hapo nikienda na avidavit ya kukubali hayo majina yote hawazingui?
2. Na kwenye nida wanahitaji kitambulisho? Au namba tu maana mm ninayo namba na kama wanahitaji kitambulisho nafanyaje hapo?
3.Na kwenye usaili wanaangalia muonekano?(mavazi, nywele n.k)
4. Na ni vitu gani vya kuzingatia ukiingia kwenye chumba cha usaili wa kufanya mtihani (yaani umepewa karatasi nini unaanza kuandika juu kati ya majina na namba yako ya usaili)
5. Kwa walio wazoefu kwenye msaidizi wa hesabu II naomba kujua maswali yanakuaje
NB. Nimeuliza maswali mengi kwa sababu sijawahi fanya interview yoyote na ndo mala yangu ya kwanza kufanya application ajira portal, na nimeuliza haya maswali ili ikitokea nmeitwa kwenye usaili nijue naenda na nini ili nisije saga nauli bure na nisipo itwa nasubilia nafasi nyingine huko mbele TAFADHARI ndugu zangu naomba msaada wenu kama hamtojali kwa sababu naamini kuna wazoefu humu 🙏🙏 naomba kuwasilisha
Shure take home yake itakua 1, 155,000Kwa mshahara wako huwezi kupata take home ya 1.3m
Paye ni 285000/-
Trade union 32000/-
Nhif 48000/-
Psssf 80,000/-
Asante sana kiongozi🙏Kuhusu NIDA wanataka kitambulisho kabisa na sio namba ila cha kufanya wewe nenda na barua ya utambilisho ya Serikali ya mtaa wanakubali
Kuhusu majina hapo ni bora uwe na half davit kweli inayoelezea majina yote ni yako na wewe utambulike kwa Jina hilo la utambilisho kutoka serikali za mtaa mengine watakujuza wajuzi humu
Shida inakuja kule Nida kuna usumbufu mwingi sana kakaSema uje ufanye mpango wa kuibadilisha hiyo NIDA iandane na majina ya vyeti vyako vingine kuepusha usumbufu wa kila mara
Naona Asali imekupoteza kijiweni[emoji2][emoji2][emoji2]Mambo vipi wakuu. Poleni na majukumu ya hapa na pale. Nilipotea kidogo kutokana na sababu mbalimbali lakin naamini gurudumu linasonga kama kawa. Na vijana wanaendelea kulamba Asali ya taifa lao.
Tupo pamoja sana mpaka kieleweke.[emoji95][emoji95][emoji95] [emoji95][emoji95]
IT ALIKUWA MTU WETU SANA VIPI KWA SASA AU AMEBADILIKA TUMFUTE ?.
Asali isikie tuu kaka.Naona Asali umekupoteza kijiweni[emoji2][emoji2][emoji2]
Hamasa yako kwa wengine ni muhimu
Naomba msaada wenu kwenye hili swaliNaomba kuuliza kwa yeyote anaejua.
Kama umeajiriwa kama engineer (bachelor degree) kwa scale ya PGSS 7.1 ambayo ni Tshs 1,375,000/=
- Mfano ukiwa na masters, ukaipeleka kwa HR, mshahara utaongezeka sh ngap?
- Kwa wale wa ERB, ukipewa status ya professional engineer, PEng (T).. mshahara unaongezeka sh ngap pia?
Huyu hajaajiriwa wala niniWewe mtoto mshamba sana we umereport juzi mimi tayari nipo kwenye system, nikusaidie kitu ukiona wewe umepata ujue kuna akina sie tumepata zaidi yaani tupo pazuri haswaaa, tunakushangaa unashindwa kutulia umewehuka kisa tu million [emoji38].
Hello, Ndugu naomba msaada kidogo, Mimi pia ni mala yangu ya kwanza kufanya application ajira portal kada ya MSAIDIZI WA HESABU II, maswali yangu ni:-
1. Majina yangu ya cheti cha kuzaliwa ni PELIUS MUKIZA LAURENT, form four na vya chuo vyote ni PELIUS M LAURENT na halafu kibaya zaidi ni kwenye nida majina ni PELIUS MUKIZA KALENGELEZI ambalo hilo la tatu ni la babu yangu JE? hapo nikienda na avidavit ya kukubali hayo majina yote hawazingui?
2. Na kwenye nida wanahitaji kitambulisho? Au namba tu maana mm ninayo namba na kama wanahitaji kitambulisho nafanyaje hapo?
3.Na kwenye usaili wanaangalia muonekano?(mavazi, nywele n.k)
4. Na ni vitu gani vya kuzingatia ukiingia kwenye chumba cha usaili wa kufanya mtihani (yaani umepewa karatasi nini unaanza kuandika juu kati ya majina na namba yako ya usaili)
5. Kwa walio wazoefu kwenye msaidizi wa hesabu II naomba kujua maswali yanakuaje
NB. Nimeuliza maswali mengi kwa sababu sijawahi fanya interview yoyote na ndo mala yangu ya kwanza kufanya application ajira portal, na nimeuliza haya maswali ili ikitokea nmeitwa kwenye usaili nijue naenda na nini ili nisije saga nauli bure na nisipo itwa nasubilia nafasi nyingine huko mbele TAFADHARI ndugu zangu naomba msaada wenu kama hamtojali kwa sababu naamini kuna wazoefu humu 🙏🙏 naomba kuwasilisha
Daaah asante sana asee, kumbe walishatoa muongozo kitambo tu!