Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wakuu, inakuaje mtu umejaza kila kitu inasoma 100% na vyeti vyote lakini kila ukiomba inaandika FAILED?
 
Wakuu, inakuaje mtu umejaza kila kitu inasoma 100% na vyeti vyote lakini kila ukiomba inaandika FAIL?
Rudi kasome qualifications za post..
Pengne huna vigezo..

Au kwenye kujaza details zako za professional umekosea ndo maan inagoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…