Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Daaah sijui niwalaumu PSRS sijui niilaumu taasisi sijui niilaumu serikali yaaani sielewi[emoji23][emoji23][emoji23]watu wa private wanafanya interview ijumaa then j3 mtu anaanza kazi yani mtu anaanza life lake anaweka vi akiba vya mishahara mpka anaelekea kuvuta CROWN [emoji592] Sisi tu nasubria PDF then PDF linakuja haumo uyu wa private December anaenda kusalimia familia akiwa kwenye private car yake[emoji23][emoji23]we unaambiwa nyumbani ntakuja mwaka ujao [emoji23][emoji23]muda huo una wait DATABASE...daaah acheni watu wavimbe wakisha pata check No.
 
Usifanya hasira kaka twende mdogo mdogo😁😁😁😁 endelea kuongeza received
 
Check number muhimu sana ukiipata umejipata,,, kuja kutolewa kazi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…