Hongera kwa kupata shavu kwa kifupi si lazima nMB mkuu,ata kama CRDB au bank nyingine usikariri NMB
Kama muajiri wako yuko Dodoma ni vizuri ukatembea na vyeti vyako na kila kitu kilichopo kwenye tangazo ili ukichukua barua upeleke kwa muajiri wako
Maana utumishi unafuata barua tu then unaenda nayo kwa muajiri wako,ambapo yeye atakupa muongozo nni kinafuata
Hiyo haitatumika isipokuwa watakuambia uwape vyeti tu.Ooooh Nina barua ya kutambuliwa ya mwenyekiti nilioendanayo kwenye interview mwezi wa 12 naamini itakubaliwa(sijajua kama wanataka barua recently ya mwezi huu au vp) kingine nlikua nataka kutumia kadi ya nmb kwasababu CRDB naona wananizingua kwahyo kama kwenye kufata barua haina haja ya account number basi ngojea niifatilie taratibu ya NMB next week
Huyu mwanetu Mungu amuangazie naye awepo akafuate barua pale masjala jumatatuKama kapata atakuwa yupo ndani ya kimbinyiko[emoji23]
Hongera kijanaBaada ya kukaa database miez nane na kidgo Mung ni mwema [emoji120] na mm pia nmelamba asali.
Wakuu hakuna haja ya kukata tamaa utumishi wako real.
Kwa kifupi nlkuwa nishaanza kukata tamaa maana ckutokea kwenye placement za mwanzo nikajua bye bye baba Jane.
Leo niko na harakati zangu nimepigiwa cmu nying Sanaa za hongera.
Utumishi hakuna connection..tuendelee kuongeza received na tusiache kwenda interview.
nenda na vyetiOoooh Nina barua ya kutambuliwa ya mwenyekiti nilioendanayo kwenye interview mwezi wa 12 naamini itakubaliwa(sijajua kama wanataka barua recently ya mwezi huu au vp) kingine nlikua nataka kutumia kadi ya nmb kwasababu CRDB naona wananizingua kwahyo kama kwenye kufata barua haina haja ya account number basi ngojea niifatilie taratibu ya NMB next week
Hongera sana mkuu, habari njema sana hizi leo humu!Baada ya kukaa database miez nane na kidgo Mung ni mwema [emoji120] na mm pia nmelamba asali.
Wakuu hakuna haja ya kukata tamaa utumishi wako real.
Kwa kifupi nlkuwa nishaanza kukata tamaa maana ckutokea kwenye placement za mwanzo nikajua bye bye baba Jane.
Leo niko na harakati zangu nimepigiwa cmu nying Sanaa za hongera.
Utumishi hakuna connection..tuendelee kuongeza received na tusiache kwenda interview.
Hongera sana mkuuBaada ya kukaa database miez nane na kidgo Mung ni mwema [emoji120] na mm pia nmelamba asali.
Wakuu hakuna haja ya kukata tamaa utumishi wako real.
Kwa kifupi nlkuwa nishaanza kukata tamaa maana ckutokea kwenye placement za mwanzo nikajua bye bye baba Jane.
Leo niko na harakati zangu nimepigiwa cmu nying Sanaa za hongera.
Utumishi hakuna connection..tuendelee kuongeza received na tusiache kwenda interview.
[emoji120][emoji120][emoji120]Hongera kijana
Asante Sanaa mkuu..Hongera sana mkuu, habari njema sana hizi leo humu!
[emoji120][emoji120][emoji120]Hongera sana mkuu
Baada ya kukaa database miez nane na kidgo Mung ni mwema [emoji120] na mm pia nmelamba asali.
Wakuu hakuna haja ya kukata tamaa utumishi wako real.
Kwa kifupi nlkuwa nishaanza kukata tamaa maana ckutokea kwenye placement za mwanzo nikajua bye bye baba Jane.
Leo niko na harakati zangu nimepigiwa cmu nying Sanaa za hongera.
Utumishi hakuna connection..tuendelee kuongeza received na tusiache kwenda interview.
Ongera kaka ukawe mtumishi mwema sasa👏Asanteeeee ulikua na Mimi bega kwa bega tangu mwanzo asanteeeee sana[emoji1488] nakutakia neema hii pia ifike kwako
dahh umeongea fact kaka ngoja nijaribu.Ni kweli unachosema ila ni maamuzi Tu mkuu na mindset yako, kwa sababu usipoamua kupotezea na kumove on itakupa tabu sana ata kwenye kufanya maamuzi mengine ya kutafuta Ridhki kwa kuhisi Asali itaingilia kati
Mimi baada ya kufanya oral mwezi wa Kwanza na majina yakaanza kutoka mwezi wa 3, hadi wa 6 majina yanatoka tu ila langu kushney, nikaamua kumove on na Mambo mengine maana muda hauniruhusu Mimi kuendelea kuwasubiri utumishi
Nikaacha kabisa kuingia Ajira portal website hadi App, nikasahau kabisa ata kama nilifanya interview, nikaanza kutafuta kazi serious private sector na ilipofika mwezi wa 7 nikawa nimepata kazi private
na bahati mbaya au nzuri kufika mwezi wa 11 nikapigiwa simu na washkaji kunipa hongera wengine ata waga hatuongei wakinipa habari za placement imenikuta sipo kinyonge
Sasa sio mara zote utapata kazi private na Gavoo tena ikakukumbuka kwahiyo ni kheri ukajiandaa kisaikolojia kwamba ikija au isije fresh Tu ila angalau una shughuri halali inayosaidia mkono kwenda kinywani na kutatua shida zingine za kibinadamu
hongera sana inno ila mwanao IT personel aliamua ajilambishe asali bana.alafu hakulizika akajipangia na mshahara juu 🤣 🤣Mimi innojembe kiboko ya Itpersonal nimelamba asali asanteni kwa ushirikiano.....nnamengi ya kusema ila kwa uchache nseme 1.MUNGU 2.TIME 3.PATIENT 4.CONFIDENCE 5.UJANJA KWA KUCHANGAMKA
mmhh mie mbona sijaona electrical engineer kwenye huu mkeka..Mkuu leta ushuhuda, naona electrical engineers kwenye mkeka
Ni civil kaka usijali database yako Mungu anaenda kuijibu sio mudammhh mie mbona sijaona electrical engineer kwenye huu mkeka..
yaani hata kada yangu sijaiona shetani huyu 🤣 🤣El marabiosh vp mwanangu kuna pdf huko mambo kwako bado ?
shukrani ndugu yangu na ikawe hivyoNi civil kaka usijali database yako Mungu anaenda kuijibu sio muda
🤣🤣 kimbinyiko wapi ndugu yangu nipo geto naugulia maumivu.alafu nimegaili sasa siku nikienda kuchukua barua sitapanda kimbinyiko nitakodi helicopter alafu nitashuka na kamba pale kama rambo...Kama kapata atakuwa yupo ndani ya kimbinyiko😂