Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Alhamdulillah namimi leo nimetokea kwenye mkeka, msikate tamaa database inafanya kazi.
Hongera sana kiongozi...
Ukawe mtumishi mwema katika majukumu ...
Ngoja niwe mvumilivu maana kila mkeka sipo wala kada haipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…