Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

asante sana mkuu nitafanya hivyo
 
Jamii forum sijui wamekuja kuwaje, kuna baadhi ya nyuzi ukifungua kupitia app yao inagona inasema sever error, ina taka kuingia kwa browser. Huu ni uzi mmojawapo yupo anaepata changamoto kama hii??
Eeh sjajua shida nn kuna pages znagoma
 
leo nimeamka nikasema ngoja nitest kuomba kazi ya ulinzi nione kama ajira ningumu kupata utumishi tuu au hadi private sectors,nikaenda baa moja hivi aisee kabla sijamlizia hata sentence naona watu wananiletea mshale na rungu nikala kona..
 
leo nimeamka nikasema ngoja nitest kuomba kazi ya ulinzi nione kama ajira ningumu kupata utumishi tuu au hadi private sectors,nikaenda baa moja hivi aisee kabla sijamlizia hata sentence naona watu wananiletea mshale na rungu nikala kona..
[emoji23]daa ulienda kuangalia mechi bhn ulivyoona yanga wamefunga ukaamua kutoka ndoki..mkeka umechanika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…