Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wamepoa Sanaa,mm siwaelew kbs leo Psrs wapo fb uko wanatak waliolamb asali watoe shuhuda..wengin wanawapiga za uso[emoji1787][emoji1787]...wamesem waliolamba asali watoe shuhuda lkn jobless ndo wanaongoz kutoa shuhuda za kukosa[emoji23][emoji23]
aisee wangekua na uzi uku wangejuta. 🤣 🤣
 
Jamn kuna ndugu zangu wanajiandaa na interview ya foreign service officer II wapitie maeneo gani kwa wanaojua mnisaidie
 
Kada kama za Automobile Engineer, Mechanical Engineer, na za afisa mifungo na wasaidizi wake mbona hazitolewi Tena hao wa mechanical pia. sasa hao wa automobile toka usahili wa oral na hajachomorewa hata mmoja ukiangalia kada zingine zilizo kuwa katika tangazo moja zote tayali na washa sahau kitambo! Zipo na kanda zingine watu wako kazi data kibao duh!, ushauri tu wawapangie Kwa mkupuo kama walivyo fanya kwa electrical, civil, na wale TMA na Kama wale wa ugavi na usambazaji, hii nchi wanasema wanauhaba wa engineers
na watu wa kilimo na mifugo pia na madakitari ila kwa sitahili hii sijui kama kweli wanashida nao kama wanavyo sema kufika uchumi wa kati daraja la juu na tz ya viwanda!?
 
Back
Top Bottom