Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

mhh huwa unasoma matangazo lakini.mi naonaga placement za maafisa misitu uwe unasoma post unaweza kuta unazipitaga tu.
Yaan acha tu mkuu wale huwa nawaona ni Diploma ambao walikuwa database, I guess tangazo lao lilikuwa 2022 ndo wanachomolewa mdogo mdogo...kimbembe ni kwa Degree holders.. Sema Mungu yupo ngoja tusubir
 
Kaka inshort Utumishi hawajawahi toa kazi zinahusiana na nilichosoma ,, ndo mana nikiwaona watu humu wanaongea lini database iawakumbuka nasema God help them sisi hata kutolewa hizo kazi hakuna..[emoji16]
soma majukumu yake ndimo wanapotoa siku hizi.
 
Alert!! Alert!! Alert!!

Updates.
FB_IMG_1711125600290.jpg
 
Jamani mbona post za electrical engineer sizioni
Hahaaaa ,hii fani yetu ni hatari mzee ,
Civil kidogo wanapata pata Placement , Ila huku mechanical na Electrical ,mzee utasaga rumba sana , hiyo MDA &LGA interview yenyewe tuliopiga mwaka jana mwezi wa , Placement Ndio hizo jina moja kila baada ya pdf za placement tatu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom