Mkuu hiyo avatar ni wewe?Ila PSRS wana utani wa ngumi kabisa,daaah kazi kweli kweli
DaaahBasi ikawe hivyo mkuu maana kitaa ikitokea wizi wanatushuku sie majobless
Pdf kipisi unachungulia nn sasa cjui anabakiza ili wanavolipwa kila baada ya kusaini. Ila awaju jobless tunavoumia aisee.kuna pdf kachungulie huenda humo..
miyeyusho kweli hawa utumishi.Daaah
Pdf kipisi unachungulia nn sasa cjui anabakiza ili wanavolipwa kila baada ya kusaini. Ila awaju jobless tunavoumia aisee.
Seeh mda mwingine tunawasonda kidole PSRS, lakin kumbe kuna maujanjajanja yanafanyika kwa idara husika kwa kuchelewesha response Utumishi ili waonekane hovyo kwa jobless.miyeyusho kweli hawa utumishi.
Na hapo ndipo utumushi wawe makini kusimamia sera na sheria zaoSeeh mda mwingine tunawasonda kidole PSRS, lakin kumbe kuna maujanjajanja yanafanyika kwa idara husika kwa kuchelewesha response Utumishi ili waonekane hovyo kwa jobless.
yaadi dibeshidwa kuelewa gabisa bdf lida dusu beji gweli yaadi adi nibebata bafua.bababaemmeona sasa jinsi utumishi walivyo vichwa panzi π π
π π πgwa staili hii udubishi wadaduua aisee π€£ π€£
πππHahhhh daaah jobless ujinga mwingi mnogwa staili hii udubishi wadaduua aisee π€£ π€£
do ivo sasa dudafajaje na gazi haguna π€£ π€£πππHahhhh daaah jobless ujinga mwingi mno
π π π ππ dahh we jamaayaani bdf beji moja bumbaf gweli madako yao
dibefajajeπ π π ππ dahh we jamaa
Nimecheka sanamsijali.Huu mfumo wa kielectronic uliharibu system kidogo kwa hiyo walikua wanajaribu mitambo kwanza na watu wa halmashauri dude lenyewe litakuja punde si punde maana wameshaconfirm kuwa system iko safi.hakikisha bando linafika 10gb otherwise utaishia katikati..
Ahahahahah ayo mafua umekunywa uji wa futariyaadi dibeshidwa kuelewa gabisa bdf lida dusu beji gweli yaadi adi nibebata bafua.bababae
Mkuu naamini tumefikiwa tuendelee kuwa na matumaini.Wakuu nimemaliza miaka 7 iliyopita. Sjawah kuitwa Usaili wowote na ambazo huwa naitwa nilikua staki kwenda au ningejkuta jina langu kwenye mikeka ya kuitwa kwenye usaili nkawa siendi kwa sabab moja au mbili.
Sasa mwaka jana nikaanza kwenda Dodoma kila nnapoitwa na Mungu Mwema nikajaliwa kuingia oral mara tatu kwa kazi tofauti mfululizo... Nikaamini hata nnazokosa kuna mambo ya database maana huwa naingia zile kazi zenye ushundan sana... Moja wameajir mtu mmoja mbili hawajatoa mkeka
Ila hyo Stress ya kuchungulia walioitwa kazini kila siku kwakweli inanitesa sana. Kwa siku naingia website zaidi ya mara 15. Mpaka nshakuwa mlevi wa kuangalia website na portal ya utumishi.
Naamini Mungu atatenda.
Wakati wako unakaribia vuta subiraWakuu nimemaliza miaka 7 iliyopita. Sjawah kuitwa Usaili wowote na ambazo huwa naitwa nilikua staki kwenda au ningejkuta jina langu kwenye mikeka ya kuitwa kwenye usaili nkawa siendi kwa sabab moja au mbili.
Sasa mwaka jana nikaanza kwenda Dodoma kila nnapoitwa na Mungu Mwema nikajaliwa kuingia oral mara tatu kwa kazi tofauti mfululizo... Nikaamini hata nnazokosa kuna mambo ya database maana huwa naingia zile kazi zenye ushundan sana... Moja wameajir mtu mmoja mbili hawajatoa mkeka
Ila hyo Stress ya kuchungulia walioitwa kazini kila siku kwakweli inanitesa sana. Kwa siku naingia website zaidi ya mara 15. Mpaka nshakuwa mlevi wa kuangalia website na portal ya utumishi.
Naamini Mungu atatenda.
gwa staili hii udubishi wadaduua aisee π€£ π€£hii staili waliyopiga leo ndo ile Mamelodi Mkanye Yanga.