Nyanzige30
Senior Member
- Mar 18, 2024
- 118
- 269
Hii ndo sababu?Hamtaki kula eid kwenu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndo sababu?Hamtaki kula eid kwenu?
Daah kuna group la Ajira portal Whatsapp kule ndo nililiona ila nmeona wamelifuta tena nadhani waliona kuwa walikoseaPdf liko wapi au ndo umeshaanza Ku undergo Schizophrenia.
tuma hilo pdf mkuu kama ulibahatika kulisave.Daah kuna group la Ajira portal Whatsapp kule ndo nililiona ila nmeona wamelifuta tena nadhani waliona kuwa walikosea
Tupo mwenyekiti,tunasikilizia apa😩mmeamkaje majobless wenzangu
Uyu anatutia stress tu🤣🤣tuma hilo pdf mkuu kama ulibahatika kulisave.
Giza Nene ndio dalili ya kukucha mkuu kikubwa consistence usikate tamaaAli mbaya sana wazee
Tunaona bora jana kuliko leo......mmeamkaje majobless wenzangu
Hauna FM Whatsapp??Daah kuna group la Ajira portal Whatsapp kule ndo nililiona ila nmeona wamelifuta tena nadhani waliona kuwa walikosea
Nimerudi kuicheki kiufasaha nimekuta kumbe ni ile ya mwezi wa tatu tarehe 28tuma hilo pdf mkuu kama ulibahatika kulisave.
Hamna ni Whatsapp ya kawaida tu sema naona ndo ile ya tarehe 28 mwezi wa tatu kumbeHauna FM Whatsapp??
Mbna Iko sawaWeb ya Psrs nzito au kwangu tu wakuu?
Ooh sawa,I thought kuna k2 kizito kinakuja😂Mbna Iko sawa
kwa hiyo kama nzito.we subiri mpka idi ipite 🤣 🤣Web ya Psrs nzito au kwangu tu wakuu?
Àaah bhana jobless una raha gani usherekee eid🤣kwa hiyo kama nzito.we subiri mpka idi ipite 🤣 🤣
heeh yaani tusisherekee idi kisa ujobless.? yaani tunasherekea idi kama kawaida ikiisha huzuni inarudi palepaleÀaah bhana jobless una raha gani usherekee eid🤣