Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wanakera sana
 
Psrs wameandaa press conference kesho tar 15,tutawasikia wanavyojinadi
Kwenye mafanikio yao wasisahau kusema kuwa wamefanikiwa kuchelewesha placement than ever before!
Watu tumefanya oral mwezi wa 9 mwaka jana mpaka leo hawajaita hata mtu mmoja! Hawa jamaa wamewahi waza hali tunayopitia majobless kisaikolojia? Waone aibu kwakweli
 
Mimi nawapongeza, wanajitahidi kuweka uwazi, naomba tu taasisi zote zipitie PSRS ili placement ziongezeke
 
Tutegemee Leo kwenye iyo press conference Yao waliongelee Ilo kwanini unachukua Mda Sana tatizo NI nini haswaa wanapoteza mvuto sasa
 
Mimi nawapongeza, wanajitahidi kuweka uwazi, naomba tu taasisi zote zipitie PSRS ili placement ziongezeke
Kwa uwazi upo sahihi sana kuna tasisi ukienda kwenye interview ni majanga tu yaani unajuona ushafeli tayari angalau PSRS wanajitahidi sana na bora zaidi ajira zote za serikali zingepitia kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…