Gotzon
JF-Expert Member
- Feb 25, 2021
- 244
- 305
Wanakera sanaWapumbavu hawa ,huo muda wa kufanya press conference za kijinga kama hizi huwa wanaupata wapi ,badala ya kuwekeza akili ,juhudi na resources katika kuongeza ufanisi kwenye mifumo yao na kuondoa madhaifu ?
Taasisi nyingi za serikali ya Tz ni takataka sana , no wonder , always wakifanyiwa auditing ni failure +++ ina kuwa revealed .
Majitu yanashindwa kufanya kazi kila siku press conference za kipuuzi kucover weakness