Usitegemee sana kuhusu app huu mjadala ni mrefu hadi leo umekosa majibu kamili kila mtu ana hyppthesis yakeApps yao bado haifunguki. Tuendele kuishi Kwa matumaini tu
Ndio nilichonotice ata mimi,yan iyo donoa donoa yke n balaaIla mwajiri akiwa MDA ni kutiana pressure tu, imagine watu wa TMC wamefanya oral mwezi wa tatu mwaka huu tayali placement zao zimetoka (mining engineers
Nikawe mtumishi mwema kwenye Stress mwanang 🤔Hongera..ukawe mtumishi mwema
Aaaah wapiMkuu umelamba asali?
Hapana kaka sio tume. Uyu rafiki yangu yeye tume alifanya mala ya kwanza kabisa zaidi ya miezi 8 imepita alifanya oral lkn akupangiwa, lkn juzi kati pale akapiga stamico. Sio tumeUlikuwa usaili wa tume ulifanyika tar 8/3 pamoja na stamico stamiko hawajatoa bado hope alifanya usaili wa tume na sio stamico,
Tume Walihitaji watu 29 mining engeneers ambao walienda moja kwa moja oral hawakufanya written.
Mkuu vipi wamekutupa halmashauri nini?Nikawe mtumishi mwema kwenye Stress mwanang 🤔
Afisa ugavi Kongwa DC😅😅😂Mkuu vipi wamekutupa halmashauri nini?
Sio mbaya ndg yangu cha msingi check number, kwa nyie watu wa manunuzi huko sio pabaya sana, pia ukimaliza miaka mi3 unaeza hama km mkurugenzi wenu atakua habani uhamishoAfisa ugavi Kongwa DC😅😅😂
alifanya kada gani stamico?Hapana kaka sio tume. Uyu rafiki yangu yeye tume alifanya mala ya kwanza kabisa zaidi ya miezi 8 imepita alifanya oral lkn akupangiwa, lkn juzi kati pale akapiga stamico. Sio tume
Ujobless huwa unavyoosha, hauchagui kama ulikuwa kipanga au msindikizaji[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kuna mwanangu kalamba asali, injinia wa madini alikuwa kipanga kweli kweli o-level na advance aliweka div 1 ya 7 PCM. Sema ujobless ulimnyoosha apa katikati. Tusikate tamaa wadau. Mie kwenye data base yangu naona wamenyofoa wawili Leo na tulikuwaga 159 [emoji16][emoji16] kwenye oral. Kada ilikuwa committee clerk.
Hongera tukutane wiki ijayo majengo ya Asha rose Migiro pale UdomAfisa ugavi Kongwa DC😅😅😂
Mwanang mm bado ni jobless 10000000%%Mkuu vipi wamekutupa halmashauri nini?
Mkuu mliwezaje kua na subra ivi😩😩,pdf la Mdas ndo huwa halielewek ivi? Let's say position ilihitaj watu 40 but iyo donyoa donyoa si miaka na miaka et😪..maana tka tumefany oral January iyo donyoa ni sidhani km watano wanafikaUjobless huwa unavyoosha, hauchagui kama ulikuwa kipanga au msindikizaji[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hongera kwake huyo jamaa akawe mtumishi mwema!
Mkuu umetoboa?Hongera tukutane wiki ijayo majengo ya Asha rose Migiro pale Udom
Hongera sanaa Noble,ukawe mtumishi mwemaAfisa ugavi Kongwa DC😅😅😂
Nashukuru Mungu awamu hii katika waliomo na mimi nimo🙏Mkuu umetoboa?
Sawa mkuu leo wametoa mapema tukuna pdf lingine uko
Daaa hongera sana my 🏆,kazi njemaNashukuru Mungu awamu hii katika waliomo na mimi nimo🙏
Hongera Sana mkuu kila la kheri katika majukumu yako mapya, ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi mkuuNashukuru Mungu awamu hii katika waliomo na mimi nimo🙏