Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hongera Sana mkuu ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi mkuu kila la kheri katika majukumu yako mapya
 
Hongera sana mkuu, ukawe mtumishi mwema
 
Pdf la leo limezoa kuanzia 2022 mpk march 2023...si mchezo...civil technicians 60 wamelamba asali tanroads...
Utumishi oyeee
 
sasa hapa tujiandae kisaikolojia mpaka pdf lingine litoke maji tutaita mmma [emoji1787] [emoji1787]
Kwamba wahandisi umeme huko serikalini huwa hawafi wala kustaafu ?
Mbona hamna Placement Kwa Electrical engineers ?
Wapuuzi wanapigisha interviews hawatoi placements
Kila pdf hola
Wtf is going on ?
 
Kwamba wahandisi umeme huko serikalini huwa hawafi wala kustaafu ?
Mbona hamna Placement Kwa Electrical engineers ?
Wapuuzi wanapigisha interviews hawatoi placements
Kila pdf hola
Wtf is going on ?
🤣 🤣 wanazingua kichiz
 
Kwamba wahandisi umeme huko serikalini huwa hawafi wala kustaafu ?
Mbona hamna Placement Kwa Electrical engineers ?
Wapuuzi wanapigisha interviews hawatoi placements
Kila pdf hola
Wtf is going on ?
yaani kada tu kuiona ni mbinde sjui majina tutayaona lini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…