Watatoa zote pamoja na mikando yetu ya kesho[emoji1787][emoji1787][emoji3]Wamegoma kutoa pdf
Inaweza kuwa hadi mwakani[emoji3][emoji3]Kwaiyo hii kila baada ya nusu saa kuingia website ya utumishi itaendelea Kwa mwezi mmoja mbele
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikiliona tu siku hiyo napost status ya magari nitakayonunua
Kweli ,ngoja nipate mwongozo toka Kwa wenzangu ,nini Huwa wanafanya...Next time bro utafanya vizuri
Yes,next time kama kawaida nitashuka dimbani.Zikitoka zingine uje upate muongozo humu ,pia usikate tamaa
Naona yangu ya heslb ba naot ziko vile vile tu?
Oral interview tips:Ahsante sana mkuu.
Wazoefu msituangushe kwenye hii kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi
Ndio huwa wana mark, nilishawahi toa maelezo humu. Paper za UTUMISHI wanataka uandike short and clear. Panel inaweza kuwa na watu 5 kwa siku kila mmoja aka mark paper 150. Siku mbili tu mzigo wote tayari inabaki issue ya ku up load.Duh watu 2900 aisee si mchezo hawa jamaa hizi pepa wamesahisha kwel 🤭
Kumbe inatukuta wengi hii😂😂😂😂Yaani, kama huna bando unaona Sasa Iko tayari ukiweka bando then unakuta bado yaani full stress
Kwakweli hawa hawatabiriki,usimalize Hela zako kubet kwa ajili ya psrs😂Inaweza kuwa hadi mwakani[emoji3][emoji3]
SanaKumbe inatukuta wengi hii😂😂😂😂
Sisi tulifika ORAL watatu, placement bado haijatoka, wawili status application inasoma SHORTLISTED, mmoja SELECTED FOR ORAL.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Shortlisted =placement
Selected for=kukandwa
Wakuu naomba kukazia hapo kwenye kusalimia kila mtu aseeh salimia kila mtu pale atakaekuwa karibu nawewe lakini usiogope hasa hizi oral zinazofanyika kwenye taasisi interview ya juzi nilifika pale kwenye taasisi mapema sana tukawa tumekaa na jamaa nayeye anaendakufanya oral sasa akaja mama mmoja akatuuliza vipi mbona mmekaa hapa tukamuelezea tu kilichokuleta tukasalimia nae akatuelekeza pakukaa lakini alikuwa kavaa tu kawaida yani ukimcheki unaona aah huyu hana kitengo chochote labda sasa tumeanza oral yeye ndo akawa anaekuja kutuchukua kutupeleka kwenye panel yetu ya interview ,nikajisemea huyu mama tusingemsalimia sijui ingekuaje leoOral interview tips:
1. Omba Mungu
2. Confidence, ukijibu swali jitahidi kujibu kwa utulivu na chukua muda kidogo kutafakari swali linataka nini kabla ya kujibu kwa pupa na kisha kuishia njiani na kutokujua jinsi ya kuendelea na kuonekana hujui kitu kumbe unajua!
3. Kujiandaa, hakiksha unasoma taarifa muhimu za taasisi unayoenda kufanyiwa usaili
unapojibu maswali hakikisha unaunganisha matarajio na maono ya taasisi na majibu yake
4. Usaili wa oral huwa mara nyingi huwa na maswali matano
swali la kwanza huwa ni tell us about yourself, mengine yataendana na kada/fani yako mengi huangalia general knowldege uliyo nayo.
swali hili la kwanza kila kada lazima uulizwe
ushauri: jibu kuanzia elimu yako, na nenda kwenye uzoefu wa kazi huku ukiainisha zile job descrption (jd) na uzoefu wako. Yaani onyesha uzoefu wako unavoendana na kazi unazotarajiwa kuzifanya
kisha elezea kitu/vitu vya ziada vinavokupa faida zaidi kwenye hio kazi.
5. Vaa vizuri, nguo zinazoendana kiofisi.
6. Wahi sehemu ya usaili nusu saa kabla
7. Beba nyaraka zako zote zinazohitajika.
8. Sema asante baada ya usaili kwa wasaili.
9. Unapofika sehemu ya usaili utakuta watu wengi, wasalimie unaowafahamu na usiowafahamu. Mtu akikuuliza kitu na unakijua usiwe mchoyo mueleweshe, mpe moyo. What goes around comes around. Mtakutana sehemu nyingine anaeza kuwa msaada kwako.
10. Ukimaliza usaili basi Omba Mungu tena na zaidi zaidi.
Nafasi zilikuwa ngapi?Sisi tulifika ORAL watatu, placement bado haijatoka, wawili status application inasoma SHORTLISTED, mmoja SELECTED FOR ORAL.
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Shortlisted mmepita mmoja atakaa data base😂😂😂(sijui lakini hizi status zinatuvuruga tu)Sisi tulifika ORAL watatu, placement bado haijatoka, wawili status application inasoma SHORTLISTED, mmoja SELECTED FOR ORAL.
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Wanatoa mwezi ujao😂Kwakweli hawa hawatabiriki,usimalize Hela zako kubet kwa ajili ya psrs😂
Nafasi ni moja, shortlisted wawili, selected for oral mmojaShortlisted mmepita mmoja atakaa data base[emoji23][emoji23][emoji23](sijui lakini hizi status zinatuvuruga tu)
Shortlisted =placement ,mlifanya post gani?Nafasi ni moja, shortlisted wawili, selected for oral mmoja
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Hio placement sasa hapo inakuaje akati nafasi ilikua inahitajika mojaShortlisted =placement ,mlifanya post gani?