Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Au aliyeitwa mara ya kwanza hakureport ?

Anaweza kuwa hakuripoti, pia inaweza kuwa walihitaji kuongezewa mtu mwingine baada ya kupewa yule wa mwanzo.

Tukumbuke kuwa, hawa wanaotoka database, PSRS haiwaiti kwa matakwa yao isipokuwa kwa kupewa mahitaji na waajiri ndipo wanawapangia vituo na kuwaita.
 
Kwa kujivuna vuta huku si ajabu hata kuna watu wanaitwa kazini na Placement zao kutolewa ila hawajui wala hawareport .
Haya majamaa yana fanya assumption kila mtu ana attention ya kufuatilia Placement mwaka mzima , ujinga sana
Mbona wako wazi..

Wanakuambia usipoenda kuchukua barua ndani ya siku 7, watakutumia kupitia sanduku la posta uliloandika. Usipojua/usipoikea ama kwa kujua au kutojua, mwajiri atatoa taarifa na kuomba kupewa mtu mwingine.

Kwa hiyo ni jukumu lako kufuatilia placement kama endapo uliwahi kufika oral.
 
Ngj tuone jmn...halafu ile beba kma Tra sjui mwaka jana sjui juzi hakuna tena?j
Tra kunadalili ya Database itachomoka maana hakuna placement iliyofanyika...alafu wanatangaza tena hapo mpka mwakani!!!
Kujenga Imani kwa wasailiwa maana mechi ya Taasisi waliocheza hawakuhusisha VAR naona Mh.Simba kilimkela
Mungu asikilie Maombi yetu...
Kitaa pamoto+pesa unaisaka kwatochi ya watt 100 lakini bilabila
 
TOKEA TAASISI ZIANZE KUAJIRI ZENYEWE, UTUMISHI WAMEANZA KUFANYISHA INTERVIEW WATENDAJI WA VIJIJI NA WALIMU....HALI ITAKUA MBAYA SANA KWA SISI WA KADA NYINGINE
 
Ni balaa ,ni ninahisi kuna taasisi zinaingiza watu kinyemela c
Hii nchi ya kishenzi sana
Saiv mambo sio rahisi kihivyo mzee kuchomekana ni ngumu. Hata uwe na ndugu psrs hawezi kukuchomeka labda rais ndio ana mamlaka makubwa akuweke.
 
TOKEA TAASISI ZIANZE KUAJIRI ZENYEWE, UTUMISHI WAMEANZA KUFANYISHA INTERVIEW WATENDAJI WA VIJIJI NA WALIMU....HALI ITAKUA MBAYA SANA KWA SISI WA KADA NYINGINE
Pole mkuu ila ungejua kwenye taasisi kumejaa watu wengi wa mikataba na hao watu ni majeuri hatari kwa sababu wengi wao wanakuwa na connection na watu wa taasisi husika na watu wa mikataba vichomi hatari hasa wakijua ni mtu wa kudumu wanavuta midomo hatari .hivyo ni ngumu sana kupenyeza mtu kupitia PSRS
 
Psrs ni kuwavumilia tu...interview ya MDA n LGA waliandika nafasi 5, lakini wameita mmoja...yaani wanaita mmoja mmoja
 
Sio midomo tu...watakupiga majungu uonekane ujui kazi
 
Ila walimu wasumbufu jamani wanaona kama kuonewa kufanya interview yaani wanalia kila mahali
Yaan wanalalamika sana alafu wanacholalamikia hakipo...wakipata error kidogo tu wanasema mtandao mbovu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…