Hapo ndio nami nashangaa...MDA n LGA Programming wanahitajika 15 lakini pia kaitwa 1. πππ
Mfano mkuu?Kuna taasis hazionekani psrs kabisa...
Check sheet hyo zipo nyingi...na mwaka huu psrs wamekomaa na halmashaurMfano mkuu?
Afya tunaomba Tamisemi ,tunaomba Wizara ya afya Tunaomba utumishi.Watazoea tu mbona kada za Afya wengi wanafanya interview psrs.
Inawezekana ametolewa databaseHuyu Dada Laboratory Scientist ajira ya DUCE PDF la tarehe 24/5/2024 usaili alifanya lini?
Mimi nilikandwa hapo lakini Oral hatukuwa na msichana hata mmoja.
Naomba msaada wa specification ya profile photo ya kwenye ajira portal.
Height, width, size kwa maana ya mb na format yake pia2
Database ya academicians ?Inawezekana ametolewa database
Dah !Tuendelee kuombeana mkuu, imebaki mkeka wa NAOT ila nimeukatia tamaa hata kama wataniita kwenye written ingawa sioni kama nitaitwa.
Hizi zilizonikanda ndio niliona ni rahisi ila ikawa kinyume chake.
Sasa akili naihamisha kwenye mishe zingine, haya ya PSRS yamepita.
Wote mliofika oral Muumba akawe upande wenu
Database ya academician ipo mkuu sema kule watu wanafeli sana hawafikishi 70% ila kwenye miongozo Yao database ya wakufunzi ipo mbona.Database ya academicians ?
Si huwa hamna database ya academicians ?
Dah!!Inamaana tuliofanya kati ya hizi Taasisi hatuna matumain tena kutoka mkeka wa database....πͺπͺπͺAsali bado ipo tuendelee kupambana
View attachment 2999019
Matumain yapo mkuu...wakati ukifika utalamba asaliDah!!Inamaana tuliofanya kati ya hizi Taasisi hatuna matumain tena kutoka mkeka wa database....πͺπͺπͺ
Sio kwa Ukimya huu PSRS.
Tunamuomba Mama(rais) arudishe kibali kwa Taasisi kwa Utumishi(PSRS) kutupa matumain kwa jobless angalau PSRS haki ipo 90% na ukabila unapungua kuliko yanayoendelea sasaMatumain yapo mkuu...wakati ukifika utalamba asali
Sasa sjui interview ya nn kuita watu wangekua wanachukua database kwanzaInawezekana ametolewa database
Daah, kwa sasa imebaki historia aisee.Dah !
Ila jobless WA jamii forum tulijua kukomaa, Mwifwa
Unakumbuka hii comment yako ?
Ndio majobless tuko kwenye hii hali kwa sasa .
Huu uzi umetoka mbali .
Duh !
Anyway , Utumishi acheni ukuda ,toeni Placement aisee .
View attachment 2999384
Nimeona watu wanachomolewa kutoka database ambapo walifanya oral ya Academician na kupelekwa kwenye taasisi zingine za kawaida tena zingine zikiwa na asali kuliko huko kwenye taaluma/kufundisha.Database ya academicians ?
Si huwa hamna database ya academicians ?