Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Tunako elekea Jobless.......!!!!
Mungu atutetee tuwe na moyo wa uvumilivu kwa matendo ya serikali wanayotutendea maana Sio Matumain wanayotoa serikali kwa jobless alafu vitendo hamna...
Mimi hizi Ajira za ualimu naomba leo leo wakitangaza tu
 
Zaivi utumishi imekuwa ya wayendaki wa vijiji, vyuo na hospitali ina maana taasisi nyingine zipo wapi.. au ndio hadi bajeti ipite,?
Kuna taasis nying hazitangazi ajira,hivi TRA,Tanesco,NSSF,NHIF,n.k mbn hawatoi nafasi za kazi?
 
Hapana hapo Huwa wanamaanisha kuwa sio kwamba umefeli mazima maana yake Ile post husika huwezi kupata kutokana na ufinyu wa nafasi Cha msingi ni kuendelea kuchungulia PDF lolote linaweza kutokea ni ushahidi kuhusu hili
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…