Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hongera sana mkuu,kila la kheri kwenye majukumu yako mapya
 
Mkuu usiseme ukamaliza, kuna majira ya Mungu yakikujiria kila kitu kinanyooka kwenye mstari kama utakavyo.
 
Hongera sana, ukawe good worker!
 
lazim mwaka huu utaitwa tu mna upepo mzuri
 
hongera sana kaka mungu amejibu maombi yako
 
Hongera sana mkuu....Ukawe mtumishi mwema
 
Hongera karib katika Utumishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…