Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Tumsifu Yesu Kristo. Wakuu kwa uwezo wa Kristo Yesu nashukuru nimeaga ujobless rasmi na sipo halmashauri. Nilifanya interview mwezi wa nne 2024, hadi sasa nimefanya interview jumla 6. Ila ya sita ndio nilifaulu written, nikafaulu practical na kufika oral. Cha muhimu tusali sana na tusikate tamaa. Ilifika wakati nilifunga sana ila wakati wa Mungu ni wakati sahihi.
 
hongera sana kaka kachukue barua haraka wasije wakagairi
 
Hongera sanaaa....Ukawe mtumishi mwema
 
Hongera sana Prof,hakika Wakati wako umefika
 
Milele Amina
Hongera sana
 
hivi ile sehemu ya recommendation letter pale kwenye otther attachment ajira portal ni kwa wale wanaopitisha barua kwa wakurugenzi wao au?
 
Hongera ndg.
 
Habarini wakuu kama kuna mtu ana connection ya kazi kwenye hizi NGO’s anicheki! Dili likifanikiwa analamba 1 million bila usumbufu wowote! Elimu bachelor of Science in Nursing! DM me please!
 
Hapo si ndio wanachukuaga maswali yao magumu na kila topic pale maswali buku hapo ni noma huwez kuyamaliza, practical sikuiz wanazifanya ngumu ngumu kidogo kupunguza watu
Ni sahihi aisee,kuyamaliza kipengele
Kwa kweli utumishi wanafanya hivi kupunguza watu maana wakati mwingine wanatoa vitu ambavyo ata kazini tu huwezi kutana navyo mpaka unamaliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…