Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa huko kujisahau utaweza kiongozi??labda kama maisha yamenyooka
Hapo ndio pagumu Sana mpk PDF itoke ndio maana kidg unaweza sahau lkn vimacho kila siku psrs ingawa Wengine WA database mpk wanapigiwagwa simu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] inawakuta washasahau
 
Nasema hivyo kwasababu kuna mdau wangu ilimuuma sana alipoona PDF hayumo na alikuwa hafanyi chochote zaidi ya kuisubiria lkn kumbe alikuwa database akasahau anashangaa ile PDF ya taasisi mbalimbali yumo wakati huo alikuwa anauza zake genge [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] saivi mlamba asali
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kutoka kuuza genge hadi kulamba asali, jobless tunapitia vipindi vigumu sana
 
Back
Top Bottom