Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Guy
Wanajamvi,

Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
Guys naomba mwenye nambar ya customer care ya utumishi aiweke hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…