Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Alhamdulilah! NAMI nimefanikiwa kulamba asali Leo.
Shukrani za dhati kwa Mwifwa ,mfwende sawadogo na wengine wote tuliokuwa tunapeana moyo hapa jukwaani
hongereni aisee haikua rahisi
 
Yaani kila siku huwa najiuliza au kwasababu huwa napost humu JF kuhusu kupata ajira hizi za utumishi ndio maana kila pdf likitoka sioni jina langu.

Lakini bado sijakata tamaa naamini MUNGU atatenda miujiza na mm jina langu litatokea kwy pdf ya placement Ameen.

Utumishi pia kama kuna namna tunawakosea humu tunaombe mtusamehe sisi ni watoto wawakulima ni mihemko tu, tunaomba sana wakuu(PSRS) mtuonee huruma, inauma sana unapoona mliofanya nao interview wanapata ajira alafu ww kila pdf haoni jina lako.
 
Ipo siku yetu tutashangilia na sisi, wakati wetu badoo ila upo karibuuu kufika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…