Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

I
Hivi huyo IT kwa nini asichukue hizo pdf zote akaziunganisha kwenye pdf moja ,sasa Kila siku harmashauri mpk inakuwa kero ili mradi tu Kila siku waonekane Wanatoa matangazo ya ajira .. sasa mbona kada zingine hawatoi.
Itawezekanage angali kila harimashauri inaleta tangazo psrs kwa muda wao, wakileta pamoja inawezekana 😁😁
 
I

Itawezekanage angali kila harimashauri inaleta tangazo psrs kwa muda wao, wakileta pamoja inawezekana 😁😁
Hii bado sio sababu, wanaeza yakusanya matangazo kadhaa labda ndani ya mwezi watoe tangazo moja na usaili uwe mmoja tu then wawapangie vituo vya kazi, baadae hata zikija halmashauri zingine wanaeza tumia database tu kawapangia vituo vya kazi, hii itapungusa sana usumbufu na gharama kwao utumishi na wasailiwa pia ambao wamekua wahanga wakubwa kwenye hizi harakati
 
I

Itawezekanage angali kila harimashauri inaleta tangazo psrs kwa muda wao, wakileta pamoja inawezekana 😁😁
wanakusanya hayo matangazo kwa kipindi flani then wanatengeneza pdf moja hii inawafanya waonekane smart
 
Leo ndio tumeachwa na pdf la watendaji tu...
Ila pdf sio fair tuna wilaya zaidi ya 120 Tanzania zote mkianza Ku display ajira za watendaji itakuaje?

Kiuhalisia hata kusema zinawekwa database sio kweli.

Kuishushia Hadhi portal ndo maana BOT,TRA,EWURA,TPDC,TPA hawaonekani tena ajira portals siku hizi
 
We endelea na mawazo yako mgando, watu tunapata utumishi taasisi kubwa tu bila ya kumjua mtu wala mganga.
 
H
Hongera sana sana
 
Kaka mwifa mimi mbona nilijibu vizuri tena yote matano na example juu cha kushangaza sijaitwa hata kazini sasa mnavyosema ikifika oral ndo kazi mm na kuwa siielew hii.

Kada yangu ;AFYA
Pengine kuna wenzio walijibu vizuri zaidi yako usivunjike moyo mkuu! Zidi kupambana shukuru Mungu kwa kila hatua!
 
Kuna furaha flani unapewa offer imeandikwa permanent and pensionable .

Jana tumemaliza induction kozi leo
Tupo tunasubili HQ.Trc post letter tukaanze kazi.

Usikate tamaa, siku moja mungu atakukumbuka.
TRC njaa kali sana kama halmashauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…