I
Itawezekanage angali kila harimashauri inaleta tangazo psrs kwa muda wao, wakileta pamoja inawezekana 😁😁Hivi huyo IT kwa nini asichukue hizo pdf zote akaziunganisha kwenye pdf moja ,sasa Kila siku harmashauri mpk inakuwa kero ili mradi tu Kila siku waonekane Wanatoa matangazo ya ajira .. sasa mbona kada zingine hawatoi.