Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

God bless you jobless mwenzangu katuwakilishe vyema
Ahsante sana mkuu.

Tupo tuna warm up hapa, mashambulizi yanaandaliwa na PSRS kutukanda kama kawaida yao.

Kaubaridi jepesi kameanza kuwarahisishia PSRS kazi hapa[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ahsante sana mkuu.

Tupo tuna warm up hapa, mashambulizi yanaandaliwa na PSRS kutukanda kama kawaida yao.

Kaubaridi jepesi kameanza kuwarahisishia PSRS kazi hapa[emoji3][emoji3][emoji3]
Jiamini tuko nyuma yako kwa maombi mkuu. Nao ni binadamu kila kitu kinawezekana good luck.

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…