Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Unakuwa Mwalimu daraja IIIC hao ni bachelor degree alafu unapangiwa shule ya msingi kufundisha hadi raha jamani unakuwa na mda wa kutosha kufanya biashara zako na kuwaketi pamoja na familia yako bila uchovu uliyopitiliza😁😁 ualimu raha,
Ualimu unachosha level ya O-level, huko advance(A-level) hakuna shida sana wanafunzi wanajitambua tayali,
 
H
Unakuwa Mwalimu daraja IIIC hao ni bachelor degree alafu unapangiwa shule ya msingi kufundisha hadi raha jamani unakuwa na mda wa kutosha kufanya biashara zako na kuwaketi pamoja na familia yako bila uchovu uliyopitiliza😁😁 ualimu raha,
Ualimu unachosha level ya O-level, huko advance(A-level) hakuna shida sana wanafunzi wanajitambua tayali,
Ivi ndivyo ilivyo mkuu?? lkn vitoto vile vinajikojolea khaa yaani ni vurugu tupu kukifundisha kijue ni issue bora advance aisee
 
Watu humu wanasema TRC njaa kali,mimi mbona naona pazuri au kwa vile nilikuwa kwenye njaa kali zaidi mtaani kwa miaka mingi? kiasi kinachoingia kwa account baada ya makato si chini ya 700k sasa njaa ipo wapi?
Hela nzuri hii, kinachobaki sasa ni wewe kuzichanga karata zako.

Hii SGR italeta mageuzi huko TRC
 
Ofisi ya waziri mkuu, ajira, na watu wenye ulemavu asali yake ipoje ndugu zangu
Scale ni hizi hizi tu TGS, ila tofauti itakuwa kwenye posho endapo pakitokea safari. Ambaye yupo sehemu isiyo na safari na hizo posho hawezi kupata kirahisi
 
Wakuu samahani naomba msaada naweza pata vip email na password niliibiwa simu na computer way back 2022 inawezekana nilikua na akaunt ajira portal lkn nimesahau kila kitu na 2023 nilifungua email mpya. Sasa napataje ile ya zaman ambayo nilijisajilia ajira portal????
Nenda ofisi za sekretarieti ya ajira
 
Dah inatia huruma watu kuwa na hofu namna ya kupata placement ila waliyo nazo (waajiri) hata hawaonii huruma vijana wasaka ajira, wawotoe watu waliyo fanya sahili(interiew) za nyuma kwanza, sawa huu mwenzi pdf zimekuwa nyingi ni jambo la kushukuru ila sasa majority ni waliyo fanya sahili mwaka huu 2024 ila mwaka jana 2023 imebaki kinzungu mkuti(njia panda) why haya mambo yanaenda hivyo, kuna watu wanalalamika sana kuwa wanakalibia mwaka kuisha na hajapangiwa hata member mmoja katika oral interview zao na walifanya kuanzia mwaka jana wezi wa saba na kuendelea, inaumiza sana kwanini serikali isitatue jambo kabla ya hatari na madhila kwa watu
Ndugu inategemea na mwajiri amejipangaje wengine budget Iko very limited unataka akuite alafu akulipe nini?
 
Unaoongea sahihi mwaka 2023 walikimbiza database kwa ufaster sana ila mwaka huu mambo yameenda ovyo ukiongea mtu anasema unalalamika.

Mfano mm mwaka jana nilifanya oral tulikuwa 150 walikuwa wanahitaji watu 50 wakaiita kazini.

Haya tangia mwaka jana hawajagusa hiyo database wamekuja kuchukua baada ya miezi 11 na mwezi unayokuja mwaka unaisha inakuwa imeisha hiyo.

Kiukweli msiwateter utumishi wamelemewa
Sasa wewe unajuaje kama uko kwenye database au haupo?? We unafikiri utawekwa kwenye database sababu tu uliingia oral hata kama ulifeli oral??
 
Mm jana nilikuwa nafanya analysis ya kada yangu.

Mwaka jana database wamechukua watu zaidi ya 200+

Lakini mwaka huu hata 50 hawafiki.

Mimi nitaweka imani na psrs siku nitakapopata kazi
Watu wanawekwa kwenye database kama wamefaulu na Oral pia, kama mwaka jana kwenye database walikua wengi kuliko mwaka huu basi mwaka jana walifaulu wengi oral kuliko mwaka huu. Watu wanafikiri ukisha ingia oral basi umeshafaulu !!!!
 
Mungu awe nawe akuongoze katika utendaji kazi wako kwa faida za wanchi, uaminifu, uadilifu, upendo, uchapa kazi, na uhodali, hivyo ndo adhina kubwa katika safari yako zidi ya nchi yako pendwa(key point uzalendo na Taifa lako), ukiwa mzalendo utapendwa na wanchi katika sector yako na Mungu pia.
Kweli we ni jobless
 
Back
Top Bottom