Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Watu humu wanasema TRC njaa kali,mimi mbona naona pazuri au kwa vile nilikuwa kwenye njaa kali zaidi mtaani kwa miaka mingi? kiasi kinachoingia kwa account baada ya makato si chini ya 700k sasa njaa ipo wapi?
Ngoja majukumu yaongezeke, umepanga chumba kimoja na huna familia 700k+ utaiona nyingi
 
Ndugu inategemea na mwajiri amejipangaje wengine budget Iko very limited unataka akuite alafu akulipe nini?
Duh!!!mwajiri anahusika vip na kulipa..
Mambo yamebadilika sasa hivi ngoja mfumo waliozindua uwe stable kwenye Taasisi kama Halmashauri unavyoona wanatupwa wengi....
Wanataka kuondoa mambo ya ulasimu mpaka mwajiri anapojisikia kuajiri usiwepo
 
Habari ya asubuhi ndugu zangu, napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wote mliomo humu, kama walivyokuwa wakisema wengine wakati wa Mungu ni wakati sahihi, hatimaye na mm nimeona jina langu kwenye pdf, Mungu katenda miujiza, ningekuwa mchoyo wa fadhila kama nisingerudi humu kutoa shuhuda.

Ahsante sana na naamini watu wote humu mtapata, Ameen.
 
Habari ya asubuhi ndugu zangu, napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wote mliomo humu, kama walivyokuwa wakisema wengine wakati wa Mungu ni wakati sahihi, hatimaye na mm nimeona jina langu kwenye pdf, Mungu katenda miujiza, ningekuwa mchoyo wa fadhila kama nisingerudi humu kutoa shuhuda.

Ahsante sana na naamini watu wote humu mtapata, Ameen.
Inapendeza
 
Habari ya asubuhi ndugu zangu, napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wote mliomo humu, kama walivyokuwa wakisema wengine wakati wa Mungu ni wakati sahihi, hatimaye na mm nimeona jina langu kwenye pdf, Mungu katenda miujiza, ningekuwa mchoyo wa fadhila kama nisingerudi humu kutoa shuhuda.

Ahsante sana na naamini watu wote humu mtapata, Ameen.
Hongera Sana mkuu na kila la kheri katika majukumu yako mapya ukawe mtumishi mwema na mwadilifu mkuu
 
Habari ya asubuhi ndugu zangu, napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wote mliomo humu, kama walivyokuwa wakisema wengine wakati wa Mungu ni wakati sahihi, hatimaye na mm nimeona jina langu kwenye pdf, Mungu katenda miujiza, ningekuwa mchoyo wa fadhila kama nisingerudi humu kutoa shuhuda.

Ahsante sana na naamini watu wote humu mtapata, Ameen.
Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapya
 
Habari ya asubuhi ndugu zangu, napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wote mliomo humu, kama walivyokuwa wakisema wengine wakati wa Mungu ni wakati sahihi, hatimaye na mm nimeona jina langu kwenye pdf, Mungu katenda miujiza, ningekuwa mchoyo wa fadhila kama nisingerudi humu kutoa shuhuda.

Ahsante sana na naamini watu wote humu mtapata, Ameen.
Hongera !
Tunakutakia utumishi mwema, pia usisahau kuweka katika sala zako sisi Jobless officers.
 
Habari ya asubuhi ndugu zangu, napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wote mliomo humu, kama walivyokuwa wakisema wengine wakati wa Mungu ni wakati sahihi, hatimaye na mm nimeona jina langu kwenye pdf, Mungu katenda miujiza, ningekuwa mchoyo wa fadhila kama nisingerudi humu kutoa shuhuda.

Ahsante sana na naamini watu wote humu mtapata, Ameen.
Hongera sana
 
Back
Top Bottom