Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Na posho ndogo ndogo zipo Hizo hamsemi kwanza wanaoosema hela ndogo siwaaache wasuburi kwenye pesa nyingi😆😆vile
Serikali inalipa basic salary lakini allowances nyingine na extra duty analipa mwajiri, haya uliza tena swali lako.Duh!!!mwajiri anahusika vip na kulipa..
Mambo yamebadilika sasa hivi ngoja mfumo waliozindua uwe stable kwenye Taasisi kama Halmashauri unavyoona wanatupwa wengi....
Wanataka kuondoa mambo ya ulasimu mpaka mwajiri anapojisikia kuajiri usiwepo
Yaani huyu jamani ni mjinga sana unaonaga ufahali kukatisha watu taamaa yeye kaona inamtosha hiyo pesa wewe ndo haikutoshi hivyo hujui kuchanga karata kitaa, na finacial plan huna ili utoboe maisha inaonesha unategemea mshahara ndo maana unakosoa watu waliyo pata kazi acha uzuzu we jamaa SAULGOODMANNgoja majukumu yaongezeke, umepanga chumba kimoja na huna familia 700k+ utaiona nyingi
Habari ya asubuhi ndugu zangu, napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wote mliomo humu, kama walivyokuwa wakisema wengine wakati wa Mungu ni wakati sahihi, hatimaye na mm nimeona jina langu kwenye pdf, Mungu katenda miujiza, ningekuwa mchoyo wa fadhila kama nisingerudi humu kutoa shuhuda.
Ahsante sana na naamini watu wote humu mtapata, Ameen
Ahsante sana mkuu.Hongera Sana mkuu na kila la kheri katika majukumu yako mapya ukawe mtumishi mwema na mwadilifu mkuu
Ahsante sana kaka Mwifwa.Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapya
Kama na wewe una support 700k ni nyingi kwenye uchumi huu basi kuna haja ya kubadili fikra zako, sintakutukana ntakwambia tu ukweliYaani huyu jamani ni mjinga sana unaonaga ufahali kukatisha watu taamaa yeye kaona inamtosha hiyo pesa wewe ndo haikutoshi hivyo hujui kuchanga karata kitaa, na finacial plan huna ili utoboe maisha inaonesha unategemea mshahara ndo maana unakosoa watu waliyo pata kazi acha uzuzu we jamaa SAULGOODMAN
Ameen mkuu, naamini wote mtapata ni suala la muda tu.Hongera !
Tunakutakia utumishi mwema, pia usisahau kuweka katika sala zako sisi Jobless officers.
Ahsante sana mkuu.Hongera sana
Ahsante sana mkuu.Hongera majukumu mema
Sasa ww unatakaje sasa wewe unajua shirika lina ofa nini na nini tofauti na salary afu kumbuka kakwambia after makato yote anabaki na hiyo afu ni diploma holder sasa unataka nini sasa, TRC na halimashauri bora wapi, watu wanaangaliya kuingia kwa system tu mengine ni hakiri yako kuwa na postive mindset jamaa, neenda hata wekeza kwa ufugaji au mashamba kama huna muda na biashara kuliko kutegemea mshahara utapiga kerere sana na familia yako itakuona unazingua sasa kila mara utasikia mke wangu mshahara mdogo bora nitafute transfer, mwenzio wanatafuta tu starting captal ili waimpliment project zao ndugu upo, saivi hawana pesa ndo maana mtu anatafuta kazi ili awe na uhakika kwanza wa money flow na uhakika wa kuishi ili mwisho wa siku project zake ziene sawaKama na wewe una support 700k ni nyingi kwenye uchumi huu basi kuna haja ya kubadili fikra zako, sintakutukana ntakwambia tu ukweli
Yani Mimi mtu anaye changaya "l" na "r" huwa nawadharau sana, ndo mana una feli interview sababu ya mambo madogo madogo tu.Sasa ww ubatakaje sasa wewe unajua shirika lina ofa nini na nini tofauti na salary afu kumbuka kakwambia after makato yote anabaki na hiyo afu ni diploma holder sasa unataka nini sasa TRC na halimashauri bora wapi, watu wanaangaliya kuingia kwa system tu mengine ni hakiri yako kuwa na postive mindset jamaa, neenda hata wekeza kwa ufungaji au mashamba kama huna muda na biashara kuliko kutegemea mshahara utapiga kerere sana na familia yako itakuona unazingua sasa kila mara utasikia mke wangu mshahara mdogo bora nitafute transfer, mwenzio wanatafuta tu starting captal ili waimpliment project zao ndugu upo saivi hawana pesa ndo maana mtu atafuta kazi ili awewe na uhakika kwanza wa money flow na uhakika wa kuishi ili mwisho wa shiku project zake ziene sawa
Yes huu uzi ni zaidi ya chuo na sehemu ya kuponya wote walokata tamaaWengi huwa wanakimbia humu wakishapata placement.
Sioni shida kuingia hapa nikiwa jukwani
Hahahahaaa.Siku naona Jina langu naenda na tarumbeta Kachukua barua na ita na waandishi wa Habari wanisindikie wanifungulie na barua
Kweli mkuu, binafsi huwa nafurahi sana kuona watu wanaingia kundini iwe namjua au simjui, so kutiana moyo ni jambo muhimu sanaYes huu uzi ni zaidi ya chuo na sehemu ya kuponya wote walokata tamaa
Kijana huyu bro na mimi hapa ni miongoni mwa waasisi wa huu uzi tulishagakula asali kitamboWewe je??
Sawa mkuu kila la kheri zamu zetu zinakujaKijana huyu bro na mimi hapa ni miongoni mwa waasisi wa huu uzi tulishagakula asali kitambo