Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hahahaaa.

Hakikisha unapambana bila kukataa tamaa uje usimulie hii raha.

Ujobless sio mzuri tena uwe huna mishe zozote
 
Umejitahidi sana, umekaa kitaa mwaka mmoja. Ila uvumilivu sasa aaahhh.


Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapya
 
Stick kwenye nafasi uliyoitiwa kuzingatia job descriptions
 
kwenye kupima afya si kama jeshi tu.lazima mchunguliane vishimo 🤣 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…